naturalhandsome
Member
- Jul 11, 2015
- 58
- 19
Mi sielewagi kwa nini vijana wadogo huwa wakimuona mwanamke hata kama mwili na sura yake inaonesha ni mdogo wkachukua hatua ya kufahamiana na kuongea ukishajua amekuzidi umri sepaaaa kimbiaaaaaa. Utashangaa kijana ndo kwanza anataka kula denda na kupenyeza mikono katikati ya mapaja, na kutetema nashindwa kujizuia khaaaaaaa!!! kama unashindwa kujizuia mbona hujiharishiii!!!!!! Ningekuwa na uwezo ningewachapa vibao wanaume wote wanaotoka na kutembea na wanawake waliowazidi umri.
Hivo na wewe mtoa mada hata sikuelewi hataa..................!!!
Mi sielewagi kwa nini vijana wadogo huwa wakimuona mwanamke hata kama mwili na sura yake inaonesha ni mdogo wkachukua hatua ya kufahamiana na kuongea ukishajua amekuzidi umri sepaaaa kimbiaaaaaa. Utashangaa kijana ndo kwanza anataka kula denda na kupenyeza mikono katikati ya mapaja, na kutetema nashindwa kujizuia khaaaaaaa!!! kama unashindwa kujizuia mbona hujiharishiii!!!!!! Ningekuwa na uwezo ningewachapa vibao wanaume wote wanaotoka na kutembea na wanawake waliowazidi umri.
Hivo na wewe mtoa mada hata sikuelewi hataa..................!!!