Mawasiliano Ndo Hatuna MkuuAnaimba vizuri lkn kwanini msijaribu kuwacheki hao WCB nyinyi Kama nyinyi?
Nafikiri pia anaweza pata meneja mwengine si lazima WCB tu! Ajitangaze watamuona ilitakiwa hata awe na video ama audio nyingi zaidi social media watamuona tu. Atumie njia ya kipaji chake watu wamfate.
kwa hiyo wasafi au nandy ndio sahihi?? Bora hata ungesema ruby na rama deeBSS wanaua Vipaji Vya Watu Wengne ,Kwangu Naona Sio Sehemu Sahihi Sana
Producer gan?
Naomba kama Ukiwa Tapeli Ukataka Kutwambia Tutume Pesa Kwako Ujue Hatutaweza Kufanya Hivyo
Yaani hiyo sentensi imenichekesha hata Mimi [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini unasema Wasafi sio sahihi?kwa hiyo wasafi au nandy ndio sahihi?? Bora hata ungesema ruby na rama dee