Ana kila dalili za kunitaka kimapenzi

Ana kila dalili za kunitaka kimapenzi

hillman

Senior Member
Joined
May 28, 2014
Posts
159
Reaction score
45
Lakini kabla ya kupata huo ujasiri, naombeni mnishauri wadau, katika nyumba niliyopanga, kuna mama mmoja nakaa nae, ana watoto japo wote wako shule, mme wake alifariki 2008, so huyo mama ni single mum, nimekua nikiishi nae fair siku zote lakini uzalendo umemshinda mwenzangu.

Ana kila dalili za kunitaka kimapenzi, sijui ni kutokana na upweke alio nao siku nyingi kuishi bila mwanamme, najua nae pia ni binadamu, mungu akuweka mapenzi sio tu kwa ajil ya kuzaana lakini pia kwa ajili ya kuenjoy na kupeana raha.

So ni huruma kwake kuishi bila kuwa na faraja kwake. Nimejitahidi kuepuka kuwa nae karibu kwa vile nimekua na ideology kuwa ye ni mtu mzima kwangu, lakini ni wapi kunazungumzia umri kuwa ni kikwazo cha kimapenzi, eti nitamkosea heshima, nani kasema kufanya mapenzi ni kitendo kichafu, go to hell this ideology, this weekend am going to ---- u madame
 
Usijitetee sana nenda kale tunda,,,,,, fanya zoezi s unajua mwenzio ana ukame asije kutoa nock out
 
You are to English, what Kinana is to our elephants...!!
 
Hilo jambo lako ni la kufanya kimya kimya eti, sio kutangaza maana uzinzi sio kitu ambacho kimehalalishwa, so usiwatafutie watu wengine dhambi kwa kutaka wakusapoti.
 
wewe tayar dhambi ya uzinzi ishadaka gegedo lako hta ukiambiwa hutaelewa.
 
Hiyo heading nimesoma mara 8 ndo nikaelewa una maanisha nini. Kwa style hii lazima mama akupige chini.
 
Mnapokosea vijana wa siku hizi ni KUTOKUJUA MNATAKA NINI. Na kwa kuwa wengi hamjui mnachotaka, hata akikutakeni mwenye umri sawa na bibi yako, utafikiri ni sawa tu. Si mnapendana bhana. kwani upendo ni nini? agrrrrrr!!!

Kujua thamani yako na hadhi ya watu unaoweza kutoka nao ni kwa muhimu sana kwa Mwanaume ila wale wanaojielewa tu lakini. Ila kwa wewe pole sana.

We nenda tu kamanda hilo ni zali haliji mara mbili, mama wa miaka 46 na wewe kijana mbichi una nguvu shida nini bhana.... wanaokuponda wanakuonea wivu tu kamanda.

Kwani mabinti wa umri wako au chini yako huwawezi maana utakua domo zege.. endelee kusubiri zali kama hizo za kufariji wajane kwa kuwa watu wa age yake na wote aliowahi kuwa nao hawapogo tena wewe tu ndio uliebakia kuokoa jahazi. Pole sana lakini.


nan kasema kufanya mapenz ni kitendo kichafu, go to hell this ideology, this wikend am going to ---- u madame
 
46-26=20
alipokuwa na umri kama wa kwako ndo ulizaliwa wewe.
labda asiwe na mvi kwenye mavuzi vinginevyo ni agano la laan.
kazi ngumu,pombe kali,wanawake wazee!
 
Wote mmecomment mnayoyawaza lkn bado cjaona sabab ya msing ya mie kutofanya jambo hilo.
 
kama wazee wanaume hawaoni aibu kutoka na wasichana kama binti zao sembuse wewe ??
kula mifupa ingali meno ipo

kumbuka we only live once
 
Kitendo cha kutangaza kinaonyesha kiasi gani nafsi yako inakusuta kwa kutaka kufanya jambo ambalo halimpendezi MUNGU.
 
Nenda kachukue virusi halafu ujehapa baada ya kuwa navyo tuzungumze vizuri namna utakavyokuwa unaishi.
 
Lakini kabla ya kupata huo ujasiri, naombeni mnishauri wadau, katika nyumba niliyopanga, kuna mama mmoja nakaa nae, ana watoto japo wote wako shule, mme wake alifariki 2008, so huyo mama ni single mum, nimekua nikiishi nae fair siku zote lakini uzalendo umemshinda mwenzangu.

Ana kila dalili za kunitaka kimapenzi, sijui ni kutokana na upweke alio nao siku nyingi kuishi bila mwanamme, najua nae pia ni binadamu, mungu akuweka mapenzi sio tu kwa ajil ya kuzaana lakini pia kwa ajili ya kuenjoy na kupeana raha.

So ni huruma kwake kuishi bila kuwa na faraja kwake. Nimejitahidi kuepuka kuwa nae karibu kwa vile nimekua na ideology kuwa ye ni mtu mzima kwangu, lakini ni wapi kunazungumzia umri kuwa ni kikwazo cha kimapenzi, eti nitamkosea heshima, nani kasema kufanya mapenzi ni kitendo kichafu, go to hell this ideology, this weekend am going to ---- u madame
Huh, a piece of advice! Before this weekend, make sure that you know what brought death to her husband! And final, learn how many sex 'miles' does she have since her husband died!
 
Nenda kachukue virusi halafu ujehapa baada ya kuwa navyo tuzungumze vizuri namna utakavyokuwa unaishi.

Who told u kila mtu mzma, Ameathirika, acha mawazo finyu bas.
 
Usianze kujikomba kwangu sasa.... sitaki kuwa na kesi ya kushirikiana na criminals kama Rostam Aziz ambaye anakutumia email.

Fikiria kuna kijana wa rika lako anataka kulala na mama yako mzazi aliyekuzaa wewe na ndugu zako ndo u iseme hiyo sentensi. Mnatia kinyaa mnaolala na wamama ambao wangeweza kuwazaa.
 
Lakini kabla ya kupata huo ujasiri, naombeni mnishauri wadau, katika nyumba niliyopanga, kuna mama mmoja nakaa nae, ana watoto japo wote wako shule, mme wake alifariki 2008, so huyo mama ni single mum, nimekua nikiishi nae fair siku zote lakini uzalendo umemshinda mwenzangu.

Ana kila dalili za kunitaka kimapenzi, sijui ni kutokana na upweke alio nao siku nyingi kuishi bila mwanamme, najua nae pia ni binadamu, mungu akuweka mapenzi sio tu kwa ajil ya kuzaana lakini pia kwa ajili ya kuenjoy na kupeana raha.

So ni huruma kwake kuishi bila kuwa na faraja kwake. Nimejitahidi kuepuka kuwa nae karibu kwa vile nimekua na ideology kuwa ye ni mtu mzima kwangu, lakini ni wapi kunazungumzia umri kuwa ni kikwazo cha kimapenzi, eti nitamkosea heshima, nani kasema kufanya mapenzi ni kitendo kichafu, go to hell this ideology, this weekend am going to ---- u madame
masaburi at work
 
Back
Top Bottom