Ana hasira, STD Seven, nipo njia panda!

Ana hasira, STD Seven, nipo njia panda!

I am a woman and I tell you,thats the woman. If you truly love her na kumuonyesha you really care hizo hasira zitapungua. Kwa jinsi ulivyomuelezea hata ukimwambia asome elimu ya sekondari kwa miaka miwili hatakataa. Dont lose her,women like her are almost not existing. Thanks
 
Broo kuwa makini ,hiyo type ni chache sana mm nna mshkaji wangu kaoa mke ana masterz ila maisha ya mshkaji na degree yake ni mateso kila wakati yaani yeye ndo amekua kama demu,sasa fungua macho umshkuru Mungu kwa kumpata binti anaejielewa namna bila kwenda hata kidato...."mwache ujute"
 
Mkuu pole mno umerogwa naenda katika maombi kukuombea kuanzia kesho.....hivi wewe jamaa unaakili kweli au umeshikiwa, unachowaza ni homework za watoto??

pole mkuu narudia tena umerogwa na nitafunga kukuombea maana Mwanaume mwenye akili timamu hawezi waza kama wewe
 
alafu kuhusu sumu Waite wadada wote humu kaa nao chini watakwambia hakuna mdada mwenye hasira kwa mtu anaempenda yani jenga romanticism ambayo mbebe akichukia akukumbatie tu alie wakuu mbona mambo mengine mepesi mno
 
Kupata mwanamke wa style io kwa mimi ata angeishia chekechea naweka ndani watoto watasoma kingereza shule mama yao atawaambukiza mbinu nzuri za kimaisha wangapi wamesoma wanakimbizwa na std 7 mtaani,shangaa yeye hajasoma anasomesha wandugu zake
 
There is no perfect man/woman, and golden chance never come twice. Just believe on your inner feelings. If it says this is the one then it is the one.
Matatizo yatakuwepo kila sehem na itakubidi uyasolve if not ngeli then its another one.
 
Kumpata mwanamke ambaye atakua perfect by 100% ni ndoto, ila kwa simulizi hii fupi mi nadhani huyu ni bora zaidi. Kumpata mwanamke wa type hii ni nadra sana, uzuri ni kwamba hasira yake ni ya muda na ikiisha anarecover. Unachotakiwa kufanya ni ku-maintain kutomkwaza mara kwa Mara. Oa huyo atakufaa
 
I am a woman and I tell you,thats the woman. If you truly love her na kumuonyesha you really care hizo hasira zitapungua. Kwa jinsi ulivyomuelezea hata ukimwambia asome elimu ya sekondari kwa miaka miwili hatakataa. Dont lose her,women like her are almost not existing. Thanks
big advice....thanks
 
Huyo ni wakuweka ndani,sisi tulio oa madegree mpaka sasa tunapumulia mashine hoi bin taaban; baba mjuaji mama ndo usiseme.
 
Wakuu Wasalaam, ni muda kidogo sijaweka andiko hapa!

Kwanza kabisa poleni kwa msiba mkubwa wa kitaifa kupitia kuzama kwa Kivuko cha MV NYERERE, kama watanzania tulivyo ndugu kila mmoja aliguswa kwa namna yake, M/Mwenyezi azipokee roho za wale marehemu na pia awape nafuu wale majeruhi waweze kupona haraka!

Back to the topic, Mara baada ya kuhitimu chuo kuna mdada nilikutana nae, kwa kweli alinivutia sana, kama kawaida nikafunguka ya moyoni alinielewa japo kwa shida sana mwishoni akakubali tukawa wapenzi! Niseme tu ukweli ni kwamba nilitamani kupita nae tu maana nilikuwa na mtu wangu tulotoka chuo pamoja! Lakini kadri siku zilivyozidi kwenda nilijikuta nazidi kuvutiwa nae, hatimae likawa koloni la kudumu....yule wa chuo tulipotezeana na kikubwa kilichochangia ni umbali kwani kulingana na majukumu ya kikazi mimi nilibaki dsm na yeye yupo mkoa mwingine, maisha yakaendelea na huyu mpenzi mpya kama kawaida!

Huyu mpenzi mpya ni mtu flani muelewa sana, hana makuu , hajikwezi, yupo natural , neno samahani anajua kulitumia vyema pale linapohitajika! kwa kifupi ni wife material....hata kupewa kale kamchezo kwa mara ya kwanza tuseme nilimbaka...maana nilifanya kuforce sana baada ya kumkaribisha kwangu.....nakumbuka ile siku nilipiga kimoja kwa shida na alilia sana akinipa lawama, sijui hatujapima, mara nikimuonja ntamuacha nk!

Tuje kwenye maisha ya kawaida huyu ni mjasiriamali mdogo......ana pato la wastani, anajua kumake bajeti vizuri, anasomesha wadogo zake(baba yake alishafariki), pia hapa town keshanunua kiwanja! hapo namzungumzia mdada wa 20-26! ananishauri mambo mengi sana, pia anapenda sana kunikutanisha na ndugu zake pia hata mama yake aliyeko mkoani huwa nikiwa nae ananipa simu namsalimia! Pia ni mtu flani hana tabia hizi za wadada wa mjini...sijui mambo ya kula bata,gharama kubwa za saloon, mavazi nk! akiniazima hela anairudisha tar aliyoahidi akishindwa ataomba nimpe muda lakini huwa anairudisha, na akiniomba hela anaomba kiasi fulani na atakupa sababu za kukuomba na hela ataifanyia nini ! mapema mwaka huu mwezi april nilisafiri kwenda nyumban alinipa zawadi kadhaa nimpelekee mama (vitenge viatu n.k)

Ok kwa muhtasari huo nadhani nimeeleweka aina ya mtu niliye nae kwenye mahusiano! Shida iliyonileta hapa ni hii..huyu mtu kaishia darasa la saba, ugumu wa maisha ulimfanya asiendelee na elimu ya juu, hii ikapelekea kuishia la saba na kutafuta kazi! kwa elimu hiyo nawaza hata tukioana si atashindwa hata kumuelekeza mtoto home work ? maisha yanaenda kasi sana kiingereza kina umuhimu wake japo wengi mtanipinga! Jambo lingine na kubwa zaidi huyu mtu ana hasira japo kiasi chake.....anaweza kukujibu vibaya akiwa na hasira baadae akipoa atakuomba msamaha na machozi juu.....alishawahi kufanya jaribio la kutaka kijiua , ni hivi alikunywa sumu ila aliwahiwa wakampeleka hsp akapona! sababu kubwa ni matatizo ya kifamilia (ni story ndefu kidogo)! kipindi alichokunywa sumu tulikuwa bado hatujaonana, ni yeye alinipa story nzima ilivyokuwa........

Nawaza mengi....atakuwa wife material kweli ???? ni move on nitafute mwingine ? japo najua ni ngumu sana kumpata mtu wa aina yake, ana mengi mazuri na hayo mapungufu machache, ishu ya elimu sio kikwazo.....hizo hasira ndio shida! Wana MMU mawazo yenu ni muhimu
Jamani kama tunashare demu mmoja...! 99% ya uliyosema anayo demu wangu mmoja mpk nikahisi ni yeye, ila yeye ana pacha mwenzake au ebu tuwekane sawa mkuu, ni mtu wa wapi??
 
Wakuu Wasalaam, ni muda kidogo sijaweka andiko hapa!

Kwanza kabisa poleni kwa msiba mkubwa wa kitaifa kupitia kuzama kwa Kivuko cha MV NYERERE, kama watanzania tulivyo ndugu kila mmoja aliguswa kwa namna yake, M/Mwenyezi azipokee roho za wale marehemu na pia awape nafuu wale majeruhi waweze kupona haraka!

Back to the topic, Mara baada ya kuhitimu chuo kuna mdada nilikutana nae, kwa kweli alinivutia sana, kama kawaida nikafunguka ya moyoni alinielewa japo kwa shida sana mwishoni akakubali tukawa wapenzi! Niseme tu ukweli ni kwamba nilitamani kupita nae tu maana nilikuwa na mtu wangu tulotoka chuo pamoja! Lakini kadri siku zilivyozidi kwenda nilijikuta nazidi kuvutiwa nae, hatimae likawa koloni la kudumu....yule wa chuo tulipotezeana na kikubwa kilichochangia ni umbali kwani kulingana na majukumu ya kikazi mimi nilibaki dsm na yeye yupo mkoa mwingine, maisha yakaendelea na huyu mpenzi mpya kama kawaida!

Huyu mpenzi mpya ni mtu flani muelewa sana, hana makuu , hajikwezi, yupo natural , neno samahani anajua kulitumia vyema pale linapohitajika! kwa kifupi ni wife material....hata kupewa kale kamchezo kwa mara ya kwanza tuseme nilimbaka...maana nilifanya kuforce sana baada ya kumkaribisha kwangu.....nakumbuka ile siku nilipiga kimoja kwa shida na alilia sana akinipa lawama, sijui hatujapima, mara nikimuonja ntamuacha nk!

Tuje kwenye maisha ya kawaida huyu ni mjasiriamali mdogo......ana pato la wastani, anajua kumake bajeti vizuri, anasomesha wadogo zake(baba yake alishafariki), pia hapa town keshanunua kiwanja! hapo namzungumzia mdada wa 20-26! ananishauri mambo mengi sana, pia anapenda sana kunikutanisha na ndugu zake pia hata mama yake aliyeko mkoani huwa nikiwa nae ananipa simu namsalimia! Pia ni mtu flani hana tabia hizi za wadada wa mjini...sijui mambo ya kula bata,gharama kubwa za saloon, mavazi nk! akiniazima hela anairudisha tar aliyoahidi akishindwa ataomba nimpe muda lakini huwa anairudisha, na akiniomba hela anaomba kiasi fulani na atakupa sababu za kukuomba na hela ataifanyia nini ! mapema mwaka huu mwezi april nilisafiri kwenda nyumban alinipa zawadi kadhaa nimpelekee mama (vitenge viatu n.k)

Ok kwa muhtasari huo nadhani nimeeleweka aina ya mtu niliye nae kwenye mahusiano! Shida iliyonileta hapa ni hii..huyu mtu kaishia darasa la saba, ugumu wa maisha ulimfanya asiendelee na elimu ya juu, hii ikapelekea kuishia la saba na kutafuta kazi! kwa elimu hiyo nawaza hata tukioana si atashindwa hata kumuelekeza mtoto home work ? maisha yanaenda kasi sana kiingereza kina umuhimu wake japo wengi mtanipinga! Jambo lingine na kubwa zaidi huyu mtu ana hasira japo kiasi chake.....anaweza kukujibu vibaya akiwa na hasira baadae akipoa atakuomba msamaha na machozi juu.....alishawahi kufanya jaribio la kutaka kijiua , ni hivi alikunywa sumu ila aliwahiwa wakampeleka hsp akapona! sababu kubwa ni matatizo ya kifamilia (ni story ndefu kidogo)! kipindi alichokunywa sumu tulikuwa bado hatujaonana, ni yeye alinipa story nzima ilivyokuwa........

Nawaza mengi....atakuwa wife material kweli ???? ni move on nitafute mwingine ? japo najua ni ngumu sana kumpata mtu wa aina yake, ana mengi mazuri na hayo mapungufu machache, ishu ya elimu sio kikwazo.....hizo hasira ndio shida! Wana MMU mawazo yenu ni muhimu
We jamaa ndani ya week umeshafungua nyuzi ngapi humu jf? Au mtunzi mzuri?
 
Back
Top Bottom