Ana hasira, STD Seven, nipo njia panda!

Ana hasira, STD Seven, nipo njia panda!

Huyo demu wako atakuwa na mambo mengi sana na nimagumu moyoni mwake,time will tell
 
Kwanza tuanzie hapo ulipobaka tukufungulie kesi ikiisha tuendelee na mengine mbakaji mkubwa ww
 
Mtoa mada inaonekana ww ni mwanaume usiejielewa, wenzio huku tunapata pasua vichwa, ww umepata wife material hlf unaleta usoro, kuhusu swala LA hasira thats a minor issue, hakuna alie perfect, unaangalia elimu ya huyo mdada, ww mtoa mada umekua wa kike? Coz mademu ndo wana mambo ya kuangalia elimu ya mwanaume, ningekua karibu yako ningekupia makofi, watu mnapata bahati hlf mnazichezea..as long as anakuvutia kimwili na anaku-treat fresh muoe huyo, mengine yatajulikana mbeleni
 
Hapo muendeleze kielimu,alaf hiyo hasira ni matokeo ya maisha alopitia tu wanasaikoloji wapo watakusaidia .Jitahidi kuangalia unachohitaji kama mwanaume ukiridhika endeleanae.
Kama kasoro zake zinakukera sana usijilazimishe na usimpotezee muda, tafuta anayekidhi vigezo vyako .
 
Usipoteze hiyo nafasi Mkuu,wanawake wa dizaini hiyo ni wachache sana kila mtu anawatafuta.
 
Tafuta mcharuko mwenzio, huyo hakuwezi maana kama unataka kuoa kiingereza mtafute yule alikuwaga supika wa libunge!! Yuko singo kama sikosei
 
Hapo umelamaba dume kwa wale wacheza karata.' Ila hapo umepata jike kwa wale wanaoelewa..

Mimi sikufichi napenda wasichana dizaini hyo, wasiokuwa na mambo mengi, mara magroup, mitandao ya kijamii kwa muda mrfu, wenye kuficha siri@

Baba umelamba jike
 
Nimeshindwa cha kumshauri huyu Jamaa ila nimeamin kweli mwenye bahati huwa habahatiki!! Dah,,kama humtak hebu tupigie pande sisi tulioishia darasa la saba kama yeye!!
 
hahaa kwa hizo sifa Alizozitaja ndugu muandishi"dhidi ya huyo demu wake"... Aisee akija kwangu siwezi kumuacha aende mkuu
Jamaa anachezea gold mchangani

Anahangaika na elimu za kibongo hazina application kwenye real life!
 
Tafuta mcharuko mwenzio, huyo hakuwezi maana kama unataka kuoa kiingereza mtafute yule alikuwaga supika wa libunge!! Yuko singo kama sikosei
😂😂mama Anna makinda?
 
Back
Top Bottom