Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Hawa ndio mawaziri anaowategemea Kikwete?Kiingereza chenyewe hata mtoto wa darasa la tano wa shule za kiingereza akisoma atashangaa sana.Ndio maana wanasaini mikataba feki na kuiacha nchi katika matatizo makubwa.
Hhaha, Unautani na mwandishi wa hotuba wa RAHISI dr,dr.dr.dr. Kikwete.