Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,268
- 7,779
Leo jumatatu ya tarehe 23/12/2019 mwanaume mmoja amejikuta mikononi mwa polisi kwa kosa la kumuua mke wake kwa kumpiga na shoka kichwani.
Mwanaume huyo ameishi na mke huyo kwa miaka zaidi ya mitano na wanamtoto mmoja. Kisa kipo hivi:
Jamaa alikuwa akiishi na mkewe katikati ya mji. Kuna mtu mwenye hela alinunua eneo lao na kufanya wao kuhamia pembezoni mwa mji.
Kutokana na hela kuwa nyingi(za kiwanja) jamaa alianza kuwa mtu wa totozi na baadae kumtimua mke wake.
Mke alianza kupambana kivyake katika biashara ndogo ndogo, kusaidia mafundi kujenga n.k. mwezi October akapata mfadhiri(mwanaume) ambae akampa mtaji akafungua mgahawa mashambani.
Jamaa aliposikia kuwa mkewe aliyemuacha yupo na jamaa mwingine ameenda na kufanya maamuzi magumu.
Baadhi taarifa kama majina, mahali walipo, umri n.k vimeondolewa ili kutokuharibu upelelezi wa kipolisi maana mazishi ni kesho. So wiki moja baada ya mazishi Uzi utaeditiwa ukiwa kamili.
Mwanaume huyo ameishi na mke huyo kwa miaka zaidi ya mitano na wanamtoto mmoja. Kisa kipo hivi:
Jamaa alikuwa akiishi na mkewe katikati ya mji. Kuna mtu mwenye hela alinunua eneo lao na kufanya wao kuhamia pembezoni mwa mji.
Kutokana na hela kuwa nyingi(za kiwanja) jamaa alianza kuwa mtu wa totozi na baadae kumtimua mke wake.
Mke alianza kupambana kivyake katika biashara ndogo ndogo, kusaidia mafundi kujenga n.k. mwezi October akapata mfadhiri(mwanaume) ambae akampa mtaji akafungua mgahawa mashambani.
Jamaa aliposikia kuwa mkewe aliyemuacha yupo na jamaa mwingine ameenda na kufanya maamuzi magumu.
Baadhi taarifa kama majina, mahali walipo, umri n.k vimeondolewa ili kutokuharibu upelelezi wa kipolisi maana mazishi ni kesho. So wiki moja baada ya mazishi Uzi utaeditiwa ukiwa kamili.