hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,468
- 11,994
Hatari sana.Ndio kuna wengine wanaamka wanakupa hela asubuhi hakumbuki kabisa huyo ndio hatari zaidi
Hatari sana.Ndio kuna wengine wanaamka wanakupa hela asubuhi hakumbuki kabisa huyo ndio hatari zaidi
Kuna watu wanaota ndoto kwa kutumia miili yao halisi, yaani anachokiota ndicho anachokifanya laivu, lakini wengine sisi tunaota ndoto spirituallyMambo haya ni magumu sana mpaka anaendesha gari, ni kwamba alikuwa ana kisasi huko ukweni maana kichwani na moyoni mambo mengi yanapita,😁