Amsterdam 2025

Ni risasi 16
 
Pole shoga mzoefu
Kwani kamanda msaliti alituambia solution gani la hizo changamoto? Yeye si alikuwa anahubiri ushoga tu akidhani hilo ndilo hitaji letu. Kwani ushoga ndiyo suluhisho la changamoto zinazowakabili vijana?
 
Mkuu ulishawahi kukoswa koswa na risasi walau moja maishani mwako?
Mie sio jambazi risasi zinifate za kazi gani? Nilikuwa tu narekebisha kiswahili ulivyosema kapigwa risasi 30...zilizompata ambazo zimempiga ni 16.
Hayo mengine wala simo..mi sijui lolote
 
Na mie nimeshangaa...
 
Mie sio jambazi risasi zinifate za kazi gani? Nilikuwa tu narekebisha kiswahili ulivyosema kapigwa risasi 30...zilizompata ambazo zimempiga ni 16.
Hayo mengine wala simo..mi sijui lolote
navyokuona wewe ulivyo, hiyo risasi moja tu ya SMG Ikipita mita sita off you .... ni lazima haja zote zitoke bila ushirikiano.

Ndiyo maana tunasema mwambie babako achunguze ni kina nani hao wahuni walitaka kuyakatisha maisha ya Lissu?

Na yeye Lissu hana kosa kutafuta usaidizi wa kisheria popote pale duniani ukizingatia haya yote yaliyomkuta - Amsterdam ni mtu muhimu sana kwa Lissu na kwa sisi watanzania wapenda haki.
 
Hayo mambo ya risasi za lissu sipo tayari kubishana maana sijui chochote, walio tayari na ubishi watakuja mbishane.
Ila risasi zilizompiga mwilini ni 16 sio 30 according to Lissu mwenyewe.
 
Kama hairuhusu basi agombee urais kwenye ile Jamhuri ya Twitter.
Bob ni kiboko ya madikteta na mkakati wa dunia ni kuyashughulikia madikteta maana sababu ya ukosefu wao wa malezi Bora utotoni unapelekea mabeberu kuingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi.Madikteta yanaamini huwezi leta maendeleo bila kuuwa watu.
Ni mwanasheria wa Bob Wine pia na mwanaharakati mmoja wa Cameroon.Kama umjui Bob muulize Putin anaijua shughuli yake amepambana na madikteta Sugu wakubwa dunia na amewashinda sembuse kina uchwara primitives uncivilized uneducated.
 
Nadhani badala ya kujikita kumtaka ndo agombee tungejikita kujiuliza why ndani ya nchi yetu hatuna platform ya watu kuweza kudai haki yao pale wanapohisi mchakato wa uchaguzi wa rais haukuwa wa haki kwako.
Haya. Wewe jikite huko unakotaka kujikita.

Mimi najikita kwenye kumpigia upatu agombee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…