Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Shangazi awe mgombea mwenza wa Amsterdam....2025 tunaenda na shangazi,we usituvurugie ratiba
π€£Shangazi awe mgombea mwenza wa Amsterdam....
Timu ya ushindi hiyo.
Kwa wanaonielewa humu [ambao ni wachache sana], wameshanielewa kwa nini nimeanzisha hii mada!Mzee mwenzangu leo una hamu ya kutukanwa?
HahahaaMkuu hicho kichwa ulichobeba juu ya mabega usikifanye ni mzigo kama mizigo mingine...
Shangazi?,unataka kusema rais wa jinsia ya kike?.Binafsi siafiki kabisa,nafasi ya Urais inatakiwa kikae kidume lkn nafasi nyingine wakiwa wanawake sio shida.2025 tunaenda na shangazi,we usituvurugie ratiba
Toxic masculinity π€£Shangazi?,unataka kusema rais wa jinsia ya kike?.Binafsi siafiki kabisa,nafasi ya Urais inatakiwa kikae kidume lkn nafasi nyingine wakiwa wanawake sio shida.
Hawawezi kukuelewa! Wana akili za kuwashia taa tu...Siyo kwamba mnajikejeli wenyewe kwa kumpapatikia huyo Amsterdam?