Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 618
- 726
Mkuu hizo tabia wanazo Hawa raia WA wilaya ya kondoa .Wanaiywa warangi Hawa jamaa fuse kichwani hamnazo
Umenena vyema mkuu.Mm huwa simpi hongera aliyezaa mtoto. Natoa hongera kwa aliyejipanga kulea mtoto kwa mafanikio, yaani amejenga, amewkeza, na ana akaunti nono ya fedha benki na amekata bima daraja la kwanza ndipo akazaa.
Lkn kuna hizi mbwa zinapongezana kwa kuzaa huku akiwa hana security ya watoto wake endapo atafikwa na umauti, yaani anaishi kwa kuokoteza fedha kwenye biashara, mshahara, ama bodaboda.
Dah! Haya mambo yanaumiza sana mkuu. 💊Mkuu hizo tabia wanazo Hawa raia WA wilaya ya kondoa .Wanaiywa warangi Hawa jamaa fuse kichwani hamnazo
Kuna huyu mwamba kutwa nzima kuzalisha dada yangu Huku wajomba zangu Hawa kutwa nzima wanashind n njaa bila sababu za msingi.
Kibaya SASA mkuu mbegu zake NI za mashetani.Mjomba NI mama pia SASA inatokea una waonea huruma Basi unatoa hela ya Kula ajabu NI kwamba toto likishiba Tu ndo basi tena kusikia halisiki ,kiburi mtindo mmoja mpaka kero.
Acha Tu mkuu.Dah! Haya mambo yanaumiza sana mkuu. 💊
Madada huwa wanazingua sana, ila ndivyo walivyo hao viumbe wa mwenyezi Mungu (ingawa sio wote)😂😂😂Acha Tu mkuu.
Just image mdada anampenda mkaka kwasababu NI light skin(mweupe) bila kujua tabia alizonazo.
MWISHO WA siku tunaleteana mbegu za mashetani ndani ya ukoo
Wanawake huwa wanazinguaga hapo tuAcha Tu mkuu.
Just image mdada anampenda mkaka kwasababu NI light skin(mweupe) bila kujua tabia alizonazo.
MWISHO WA siku tunaleteana mbegu za mashetani ndani ya ukoo
Kwani ni dhambi kuwa mkosoaji?
Watoto ni baraka love tuzae tu!