Amri ya kukamatwa wakina James Delicious zazagaa ulimwenguni

darcity

JF-Expert Member
Jul 20, 2009
9,099
18,048
Ilianza kama mzaha kwa RC Makonda kutangaza majina ya wasanii aliowashuku watumia dawa ya kulevya.Akapata coverage/kiki kubwa katika media za ndani.
Then akafuata Naibu waziri wa afya kutoa amri ya kukamatwa kwa vijana wanaosadikika kuwa mashoga kina Kaoge,James Delicious

Infact hawa wanatafuta kujijengea jina kwa Mh. Rais ambaye inaonekana ni mpenzi mkubwa wa aina hiyo ya uongozi.

Ingawa wanafanya hivyo kwa maslahi binafsi, hawakufikiria jinsi matamko kama haya yanavyovuta attention ya dunia na kuwa chanzo cha misigano ya kidiplomasia (rejea kauli ya Nape aliyowajibu Wamarekani kuhusu mgogoro wa Zanzibar iliyosababisha wafunge ofisi yao ya misaada na kuondoka) na kashfa kubwa kwa taifa (Rejea saga la Zambia,Uganda na Zimbabwe).Amri hiyo tayari nimeshuhudia ikitangazwa na Tv ya CGTN na magazeti na mitandao kadhaa ulimwenguni.

My take: Mawaziri na viongozi wawe makini na wafuate taratibu za kutoa amri,maagizo kwa kupata ushauri wa wataalamu husika.

Tanzania Orders Arrest of 3 Men for Promoting Homosexuality

Tanzania Orders Arrest of 3 Men for Promoting Homosexuality
 
Ni bora kukosa misaada kuliko kuendekeza mambo ya haki za mashoga, sio lazima nchi kujipendekeza katika Sera za mrengo wa mashoga.

Trump pia hahitaji kusikia haki za mashoga USA na misaada alisimamisha kitambo.

Haki za mashoga ni kitu kisichokubalika, haiwezekani kutengeneza jamii ya mashoga. Sitoshangaa mashoga wakipotezwa juu ya USO wa dunia.

Mungu ana makusudi yake kufanya Donald Trump kuwa raisi wa dunia kwa wakati kama huu, kuna mambo mengi sana anahitajika kutimiza ili maandiko yapate kutimia
 
MOLA WAONGOZE VIJANA WETU KATIKA REHEMA ZAKO NA NJIA YA HEKIMA NA BUSARA. ...WAEPUSHE NA USHOGA NA USAGAJI MILELE YOTE. ..
Sister. Ni sawa kumuomba Mungu lakini pia inabidi wazazi muwe karibu sana na watoto wenu. Hii tabia ya kuwatupa watoto boarding school tangu wakiwa darasa la tatu ni hatari sana kwa sababu hii dunia ya sasa hii wala haieleweki. Mkakati uanze na wazazi jamani!
 
Ilianza kama mzaha kwa RC Makonda kutangaza majina ya wasanii aliowashuku watumia dawa ya kulevya.Akapata coverage/kiki kubwa katika media za ndani.
Then akafuata Naibu waziri wa afya kutoa amri ya kukamatwa kwa vijana wanaosadikika kuwa mashoga kina Kaoge,James Delicious

Infact hawa wanatafuta kujijengea jina kwa Mh. Rais ambaye inaonekana ni mpenzi mkubwa wa aina hiyo ya uongozi.

Ingawa wanafanya hivyo kwa maslahi binafsi, hawakufikiria jinsi matamko kama haya yanavyovuta attention ya dunia na kuwa chanzo cha misigano ya kidiplomasia (rejea kauli ya Nape aliyowajibu Wamarekani kuhusu mgogoro wa Zanzibar iliyosababisha wafunge ofisi yao ya misaada na kuondoka) na kashfa kubwa kwa taifa (Rejea saga la Zambia,Uganda na Zimbabwe).Amri hiyo tayari nimeshuhudia ikitangazwa na Tv ya CGTN na magazeti na mitandao kadhaa ulimwenguni.

My take: Mawaziri na viongozi wawe makini na wafuate taratibu za kutoa amri,maagizo kwa kupata ushauri wa wataalamu husika.

Tanzania Orders Arrest of 3 Men for Promoting Homosexuality

Tanzania Orders Arrest of 3 Men for Promoting Homosexuality
Usiwe muongo utachuma dhambi mbele za Mungu.Hakuna ofisi ys Misaada ya malekani (USAIDS) iliyofungwa

Ni msaada wa MCC pekee ambao ulisitishwa kwa Tanzania
 
Sister. Ni sawa kumuomba Mungu lakini pia inabidi wazazi muwe karibu sana na watoto wenu. Hii tabia ya kuwatupa watoto boarding school tangu wakiwa darasa la tatu ni hatari sana kwa sababu hii dunia ya sasa hii wala haieleweki. Mkakati uanze na wazazi jamani!
kweli kabisa , wazazi na sisi tujitahidi kuwa karibu na watoto.

ila changamoto ya sasa ya kutafuta kipato ndiyo inayofanya mtoto kupelekwa boarding mapema.
 
Napata shaka na hii vita iliyotangazwa na serikali juu ya hawa homosexual kwani ni muda mrefu umepita tokea makonda atangaze kiama kwao iwe mtaani au mitandaoni, pamoja na ma 'followers' wao.

Sasa amekuja tena mwingine (kigwangalaa) na kauli hiyo hiyo, lakini yeye akiwa specific kwa James Delicious.

Kwa nini kama serikali isikae chini na kuweka mikakati madhubuti ya mapambano dhidi ya mashoga instead of kila mtu kuja na matamko yake binafsi!!?

Viongozi wenye dhamana husika acheni unafiki fanyeni kazi, timizeni ahadi zenu na sio kupiga blah blah.
 
"Ni heri kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi ukiwa umechuchumaa"...Kuukingia kifua Ushoga kisa Misaada ni Utumwa na Ujinga uliokubuhu,Km no kukosa misaada wacha tuikose.Mungu DAIMA humpenda Mtu anayesimama ktk Kweli yake.Yeye mwenyewe atasimama kati yetu na kutusaidia siyo Marekani au nchi za Ulaya,Km alivyomwokoa Daniel kwenye tundu la Simba na sisi leo atafanya hivyo.Ili mradi Tusimame imara ktk Kweli yake na kweli yake ni hii-USHOGA HAUKUBALIKI TZ NA DUNIANI.
 
Back
Top Bottom