Amri kumi kwa wanaopenda ofa

Amri kumi kwa wanaopenda ofa

VAN HEIST

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
1,434
Reaction score
617
1. Muheshimu anayekununulia
2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini
3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini
usimkatishe mazungumzo anaetoa ofa
. Mtoa ofa akikutuma popote usikatae
6. Mtoa ofa akiupenda muziki fulani, we anza
kucheza kwa bidii kabisa
8. Usinywe kwa pupa, kunywa mafunda
madogomadogo
10. Mtoa ofa akitoa kichekesho cheka sana hata
kama hakichekeshi
 
4.mpe sifa nyingi za kumkubali
5.akiitaji demu Fanya juu chin apatikane
 
1. Muheshimu anayekununulia
2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini
3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini
usimkatishe mazungumzo anaetoa ofa
. Mtoa ofa akikutuma popote usikatae
6. Mtoa ofa akiupenda muziki fulani, we anza
kucheza kwa bidii kabisa
8. Usinywe kwa pupa, kunywa mafunda
madogomadogo
10. Mtoa ofa akitoa kichekesho cheka sana hata
kama hakichekeshi

Pendeza saaana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom