Aka!!! Uko mwenyewe me simo
Hujatoa risiti nini?Hiyo namba 8 nimecheka kama chizi,kweli Jf ni ongeza muda na furaha. Niko TRA,nimeitwa nimekuja nimenuna,niko foleni nasubiri kuchomwa sindano kama mnavyojua ukiitwa na TRA,ujue sio kwema. Hiii namba namba 8 nimechekaaaaaa
una experience navyo ?Amri kuu ya HIV
kila siku meza kidonge kikubwa kama kidole gumba for the sake of your life..
Duuh mkuu ungekuwa unaweza kuandika business plan kwa weledi hivi saizi ungekuwa mbali sana.
Poleni mabaharia kwa misukosuko mnayokumbana nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kicha umewowa...kwa sauti ya kichagga nA kihaya
Umeona hadi dog kadinda[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sihusiki aisee
At least wangetenda wengineKuandika na kutenda ni mbingu na ardhi
😉Amri kuu ya HIV
kila siku meza kidonge kikubwa kama kidole gumba for the sake of your life..
Kwa upande huo nao wapo wazuri haiwezekani tukafanana wote.Duuh mkuu ungekuwa unaweza kuandika business plan kwa weledi hivi saizi ungekuwa mbali sana.
Me dunian bado niponpo mwenye suala LA kwenda mbinguni mi badoNtakupitia tende zetu mbinguni ila jipange
Yohana 14:6 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
6 Yesu akawaam bia, “Mimi ndiye Njia na Kweli na Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu.
Hamna mama,trip hii TRA ni kama kitengo cha kufirisi wafanyabiashara. Wameniletea barua niandae hesabu za mwaka jana.Hujatoa risiti nini?
Jamaa katoa darasa zuri sana [emoji3]Amri kuu ya HIV
kila siku meza kidonge kikubwa kama kidole gumba for the sake of your life..