Mkenye Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 218
- 402
Kwa miaka ya hivi karibuni kipindi cha Amplifaya kinachorushwa na Clouds Fm kuanzia jumatatu hadi ijumaa saa kumi hadi kumi na mbili jioni, kikiendeshwa na Millard Ayo na Frida Amani; kimekuwa kipindi kinachogusia mada mbalimbali kuhusiana na maisha yetu ya kila siku pamoja na desturi zetu kama Watanzania.
Kama mdau umejifunza mambo gani kutokana na hicho kipindi na ungependa waboreshe nini ili kipindi kiwe bora zaidi.
Kama mdau umejifunza mambo gani kutokana na hicho kipindi na ungependa waboreshe nini ili kipindi kiwe bora zaidi.