Amos Makalla: Wanaopinga Mkataba wa Bandari ni wivu tu

Mtanzania2020

JF-Expert Member
May 23, 2020
453
909
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Amos Makalla amesema wanaopinga uwekezaji wa bandari za Tanzania hawana maono na maendeleo yanayoletwa na serikali.

Akizungumza wakati wa mkutano unaofanyika jijini Mwanza amesema uwekezaji huo utasaidia katika usafirishaji wenye urahisi wa mizigo mbalimbali kupitia mradi wa SGR.

Chanzo: EastAfricaRadio

 
Muwe mnawaulizaga hii anasoma kwenye kifungu gani cha Mkataba
 
Hawa ndio wanasukuma ajenda za wahuni wa ccm wamiliki na kuuza raslimali za nchi
 
Ni kichaa tu anayeweza kumuelewa makala na kuamini kwamba ni kiongozi mzalendo
 
Tulikuwa na maono kipindi cha Madini na Gesi; Kuendelea kuwa na maono kwa kufanya kilekile na watu walewale na kutegemea outcome tofauti nadhani Bwana Albert Son of Einstein aliongelea vizuri zaidi watu wa namna hio....

The definition of insanity is doing the same thing over and over and expecting different results. -Albert Einstein.
 
Nafasi za RCs ziwe zinatangazwa Na kufanyiwa usail wa wazi .

Zisiwe za kuteuliwa.
 
Papaa Amos Makalla... mobimba
 
Yaani, ni aibu kwa kiongozi wa serikali kuvalia mavazi ya kichama kwenye mambo ya kiserikali. Au hii ndiyo sare ya serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…