Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amesema jumla ya wanachama 4,109 wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu ujao kupitia chama hicho.
Akizungumza leo akiwa Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Makala amesema:
"Kwa takwimu za haraka, waliochukua fomu katika majimbo yote kwa maana ya Tanzania Bara wako 3,585 na Zanzibar 524. Kwa hiyo, katika majimbo tu, wanachama walioonyesha nia wako 4,109, na tuna majimbo 272."
Akizungumza leo akiwa Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Makala amesema:
"Kwa takwimu za haraka, waliochukua fomu katika majimbo yote kwa maana ya Tanzania Bara wako 3,585 na Zanzibar 524. Kwa hiyo, katika majimbo tu, wanachama walioonyesha nia wako 4,109, na tuna majimbo 272."