Kwanza hongera kwa kuwemo katika awamu hii ya tano,
lakini kumbuka unaingia mkoa uliowashinda wengi akiwemo kandoro
Ila naomba katika kazi zako usisahau kumulika wilaya ya mbeya vijijni
bonde la songwe kitongoji cha kaloleni.
Mh,tunaporwa ardhi na mkuu wa wilaya akishirikiana na watendaji wa ardhi,
kumbuka sisi ndio tuliopisha kiwanda cha cement kwa manufaa ya umma,
tena tukapisha kiwanda cha mbeyatex kwa manufaa ya umma,
tena tukapisha uwanja wa ndege kwa manufaa ya umma,
Lakini leo tunaporwa ili wawauzie wenye fedha wakitumia dalali anaeitwa amboni
Tunajua jambo hili utilifuatilia na kulitendea haki...salaaam.