funaku JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 38,534 Reaction score 31,198 Oct 25, 2025 #1 Kutoa tamko kwa kukurupuka na bila kufanya uchunguzi au kusikiliza upande unaotuhumiwa ni uhuni kama uhuni mwingine. Hata D.Trump anaziona hizi jumuia za kimataifa kama magenge ya wahuni tu.
Kutoa tamko kwa kukurupuka na bila kufanya uchunguzi au kusikiliza upande unaotuhumiwa ni uhuni kama uhuni mwingine. Hata D.Trump anaziona hizi jumuia za kimataifa kama magenge ya wahuni tu.
Z ZAK ZAK JF-Expert Member Joined Mar 2, 2018 Posts 635 Reaction score 562 Oct 25, 2025 #3 Mabeberu mnakilosoa mashirika ya Haki za binadamu
Izy_Name JF-Expert Member Joined Apr 9, 2020 Posts 1,061 Reaction score 2,552 Oct 25, 2025 #4 kwamba kujua huyu ni inzi au sio nzi mpaka utumie microscope?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,597 Oct 26, 2025 #5 Ngoja mnyoshane kidogo... Cc: Mahondaw
Sigonella Island JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 13,260 Reaction score 40,441 Oct 26, 2025 #6 funaku said: Kutoa tamko kwa kukurupuka na bila kufanya uchunguzi au kusikiliza upande unaotuhumiwa ni uhuni kama uhuni mwingine. Hata D.Trump anaziona hizi jumuia za kimataifa kama magenge ya wahuni tu. Click to expand... Mmepigwa kwenye mshono mmeanza kutoka mlio 😅😅😅😅
funaku said: Kutoa tamko kwa kukurupuka na bila kufanya uchunguzi au kusikiliza upande unaotuhumiwa ni uhuni kama uhuni mwingine. Hata D.Trump anaziona hizi jumuia za kimataifa kama magenge ya wahuni tu. Click to expand... Mmepigwa kwenye mshono mmeanza kutoka mlio 😅😅😅😅
funaku JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 38,534 Reaction score 31,198 Oct 26, 2025 Thread starter #7 Sigonella Island said: Mmepigwa kwenye mshono mmeanza kutoka mlio 😅😅😅😅 Click to expand... This time wamejibiwa na watajifunza
Sigonella Island said: Mmepigwa kwenye mshono mmeanza kutoka mlio 😅😅😅😅 Click to expand... This time wamejibiwa na watajifunza