Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,440
- 25,582
yaani"Sisi ni mabingwa wa kihistoria"Yanga bana hovyo sana.
yaani"Sisi ni mabingwa wa kihistoria"Yanga bana hovyo sana.
Kule refa alitoa kadi kibwegeNi kweli, kwasababu hata kule Kigoma alimlamba.
Kwa timu ya jana iliyocheza labda wakapindue kitanda cha Mama J, biashara anavuka hapa ila Yanga hata shirikisho haendi tegemea anaenda kuwa 100±Uto bhana yani mpira umeisha baada waje na vitu technical kwenye football washaanza ndoto zao tena mara tunaenda kupindua meza sasa sjui wanafkr wanaenda Singinda.
Sema CAF hii round ikiisha watoe ranking za vilabu tena maana kuna timu itakuwa imepitwa hadi na Biashara United hapa.
Kama mlivyoturamba kigoma kupitia kwa Thadeo LwangaKweli mkuu ila yanga akikutana na nyau anamlamba unalizungumziaje hili
Uto ndo zao yani hawaoni kama wapo wanatuvuna hapa yani sijui wajikuta akina nani yani sisi tunapambana timu zinakuwa nne wao wanakuja na wenge lao uwanjani eti timu haijapata chemistry yani toka kipindi cha Zahera hadi leo hawana chemistry sasa hapa watafute divinity tu hakuna namna🐸🐸Kwa timu ya jana iliyocheza labda wakapindue kitanda cha Mama J, biashara anavuka hapa ila Yanga hata shirikisho haendi tegemea anaenda kuwa 100±
Nayo ni propaganda tu, mbona zinadoda masokoniWamewekeza kwenye fashion show ya mavazi
Huu ndio ukweli. wakiufanyia kazi huu ushauri wako watapiga hatua kubwa sana.Siku yanga wakiacha propaganda ya kuifananisha timu Yao na club ya Simba wakaanza kujenga timu watafanikiwa
Narudia tena yanga ni timu ndogo sn ktk mashindabo ya kimataifa ..wakae chini watengeneze mfumo
Tabia ya kujiweka level sawa na Simba itazidi kuwatafuna miaka nenda Rudi
Ktk level za CAF Simba ni no 12 wakati yanga ni 77 na wakimaliza mechi Yao ya marudiano nadhani watazidi kutupwa wa 100+
Kama Kigoma sioKweli mkuu ila yanga akikutana na nyau anamlamba unalizungumziaje hili
Wenye akili wapo mkuu,, baba yake haji manara na kikweteIn short, Yanga hawana akili!
Kama wewe mtoa mada ni kocha kwa nini Yanga wasikuchukue? Hamna timu ya kushindana Champions league hapoKocha wenu anadiploma mleteni afundishwe na Profesa wetu,aje na vyeti vya waajiri wake.
Kocha anajua,kikosi kipo vizuri.
Baada ya mechi Sasa
Nabi hajui kupanga kikosi unamuwekaje Bangala benchi?
Mauya sio wakucheza Yanga
Nchimbi sio wakuchukua nafasi ya Youcuba
Nabi hana uchungu na Yanga
Ongeza kauli nyingine ya utopolo wakilalamika juu yakipigo Cha river United
Kwenye muunganiko hiyo timu imeshindikana sasa sijui ni kusajili hovyo au nini? Bora usajili wachezaji wa kawaida uwafundishe kucheza kitimu kuliko kuokoteza wanaoitwa mastaa kila mtu anacheza anavyojiskiaTimu toka enzi za Zahera mpaka leo hawaelewi Chemistry kama vipi si waachane na Science waende zao Arts
😀😁😂Wenye akili wapo mkuu,, baba yake haji manara na kikwete
Ndiyo Marupe~rupeYanga sioni hata wanacheza mfumo gani.
Mi naona wanacheza
Putaputa tu, sioni wakicheza kimipango.
Au macho yangu jamani.
Mechi na Rivers United nyumbani dakika 90 shuti moja tu golini ...!!!!
Ni maajabu ya Karne.
Vipi wangeshuka Al-Ahally wenye kombe lao ?
Baada ya kumlamba mnachukua ubingwaKweli mkuu ila yanga akikutana na nyau anamlamba unalizungumziaje hili