...ukiwa ccm huwezi kuwa hata balozi wa nyumba kumikumi kama hujajikomba kwa vigogo wao. uliona nchimbi na wakina Sofia wanafuka moshi sio kwasababu wanapenda sana haki ya mgimbea wao bali walisha jikomba kwa lowasa awakumbuke kwenye ufalme wake...
Kumbe ndo maana Asha Rose siku wanatangaza matokeo ya 3 bora alipanda jukwaani na mume wake ili kumchamba mwenzake.Amina amemshinda Dr asha kwa kura!! Sikuamini.JK katika ubora wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.