Admin1988
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,603
- 1,835
Wakuu heshima kwenu!
Kuna waalimu kadhaa wamesi mamishwa kazi kutokana na TUHUMA za/ya;-
1.KUTEMBEA NA WANAFUNZI (NGONO),
2.KUWAPA WANAFUNZI SIMU ILI KUONGEA NA WAKWAO,
3.UTORO KAZINI (KUCHELEWA KURIPOTI SIKU.5 BAADA YA SHULE KUFUNGULIWA),
4.KUTOKA KWENDA KWENYE SHUGHULI NYINGINE ZA UZALISHAJI MALI, BAADA YA VIPINDI VYAKO KUISHA NDANI YA SAA 7:30 HADI SAA 8:30 MCHANA.
Wadau wa elimu na wakongwe kazini, Mimi ndio nimeajiliwa sina hata miezi 6 kazini, lakini nakutana na sekeseke kama hilo limewakumba waalimu wenzangu zaidi ya watano SHULE fulani ya serikali na mkoa fulani hivi......!
WANASEMA ETI ZAMA ZIMEBADILIKA.....
Je!, SHERAIA na kanuni za utumishi kwa waalimu pamoja STANDING ORDER zinaseamje?
Msaada tafadhali.....
Kuna waalimu kadhaa wamesi mamishwa kazi kutokana na TUHUMA za/ya;-
1.KUTEMBEA NA WANAFUNZI (NGONO),
2.KUWAPA WANAFUNZI SIMU ILI KUONGEA NA WAKWAO,
3.UTORO KAZINI (KUCHELEWA KURIPOTI SIKU.5 BAADA YA SHULE KUFUNGULIWA),
4.KUTOKA KWENDA KWENYE SHUGHULI NYINGINE ZA UZALISHAJI MALI, BAADA YA VIPINDI VYAKO KUISHA NDANI YA SAA 7:30 HADI SAA 8:30 MCHANA.
Wadau wa elimu na wakongwe kazini, Mimi ndio nimeajiliwa sina hata miezi 6 kazini, lakini nakutana na sekeseke kama hilo limewakumba waalimu wenzangu zaidi ya watano SHULE fulani ya serikali na mkoa fulani hivi......!
WANASEMA ETI ZAMA ZIMEBADILIKA.....
Je!, SHERAIA na kanuni za utumishi kwa waalimu pamoja STANDING ORDER zinaseamje?
Msaada tafadhali.....