Amerudi na shanga kiunoni

wanaume wengi mmekuwa wambea sijui ni hulka yenu au kisa jf? yaani mnaanika yoote mnavyoishi na wake zenu ingawa hatujuani ila mshaanza kukera kwa visired vyenu vingine havina maana!!

kwn kuweka wazi au kutokuweka wazi kunabadili nn mwilin....ww unadhan vile bwasheshe wako anavyokufumua ayo marinda ata ukifanya siri unadhan ilo tundu litarud kwenye hali yake ya awal.....ukwel na uwezo ndio mpango wa dunia ya sasa ivoo tutoleee apaaa idea zako za enzi za mwlm apaaaa
 
usimjibu mpu.mb.avu sawsawa na upu.mb.avu wake usije ukafanana naye!!!!!!!!!!!napita tu
 
hutakiwi kuogopa..hizo ni catalyst all u need ni ujue namna ya kuzitumia kunogesha kipute!
 
Keshaliwa na aliyemtoa bikra huyo, walikuwa wanakumbushia!
 
Mabadiliko Mabadiliko Mabadiliko.......

Unayaogopa tena Mabadiliko Ndugu!?
 
Kaambiwa, kavaa, kafanya majaribio, kaja nayo kwako, hapo tayari
 
KWA ULIVYOZIONA
ZINAFAA KUTENGENEZEA KACHA?
 
mbona hujawahi kumshangaa na kuanzisha uzi anavyonunua hereni, bangili, kusuka style mpya, bila shaka utakuwa mwanaume wa dar, kama hupendi mwambie atupe mbali au unataka tukuambie aligongwa ??? basi mimi nakushauri achana nae kabisa *****
 
Ndio mara ya kwanza anavaa tangu muowane au alipoondoka nyumbani ulimvua?
Au nani anamnunulia hizo shanga akiwa kwako zaidi ya yeye au wewe?
Inategemea na mazingira yenu mlio zowea lakini mimi leo nivae shanga mpya
haijalishi wakati nimekwenda nyumbani au nimezinunua mjini kazi yake
nikuzi chezea sio kujua zilikoto wala alozitunga nani wala anaeuza nani...
 
Hata mie nilifunzwa kuzivaa na faida zake na asikudanganye mtu hao waume wanaosema hawazipendi kwa wake zao wakiona huko nje wanawehukaa na kuzifata nikivaa mie ni wivu nisifatwe. Kingne jmn wanawke sio mnavaa mnaziacha njee ukiinama kidogo hizoo haifaii
 
Bibi yake mzaa mama kamwambia avae shanga ili zikupagawishe, kama unajua matumizi yake. Hakuna haja ya kulalamika kuhusu hili Mkuu kama huzipendi mwambie avue.



 
Huna namna kunishawishi kuhusu shanga



Ok uko nae kwa mda gn kwenye ndoa na umewahi kuongea nae kabla ya kuja humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…