Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?
CCM ni wahuni wanajifanya nchi ni yao peke yao
Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?
Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?
Ameri Nkulu(56) aliyehukumiwa kwenda jela miezi 6,siku 2 kabla ya uchaguzi wa Oktoba. Sasa ni diwani wa kata ya Lusaka Sumbawanga.
Kada huyo bado yupo jela na ataapishwa baada ya hukumu kuisha.Kamanda alihukumiwa kwa kumkata vibao kiongozi wa CCM Kristian Kafwimbi
LAKINI si tuliambiwa "wapigwe tuu" sasa kosa la huyu Diwali mteule lilikuwa nini wakati alikuwa anatekeleza agizo la mtoto wa mkulima?
Huu uzi ni serious issue lkn uchangiaji wake ni kama comedian wamekutana jukwaa moja.......kwanini amkate kibao.....sababu ccm wahuni wanajifanya hii nchi yao......jibu lingine......Aliitwa demu.....Akileta dharrau unapiga tu......dah.....salute kwenu JF.
Kwanini amkate mwenzie kibao?
Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?
Fisiem walidhani watafanikiwa na hiyo hujuma,wana laana hawa jamaa