Sasa kama mtu analeta ujinga kwenye maslahi ya wananchi dawa ni nini? na hasa ukizingatia kwamba hata ukimpeleka polisi ni kazi bure maana polisi na yeye ni kambi moja.
Sasa kama mtu analeta ujinga kwenye maslahi ya wananchi dawa ni nini? na hasa ukizingatia kwamba hata ukimpeleka polisi ni kazi bure maana polisi na yeye ni kambi moja.
Huu uzi ni serious issue lkn uchangiaji wake ni kama comedian wamekutana jukwaa moja.......kwanini amkate kibao.....sababu ccm wahuni wanajifanya hii nchi yao......jibu lingine......Aliitwa demu.....Akileta dharrau unapiga tu......dah.....salute kwenu JF.
Ni Kamanda Ameri Nkulu(56) aliyehukumiwa kwenda jela miezi 6,siku 2 kabla ya uchaguzi wa Octoba.Sasa ni diwani wa kata ya Lusaka Sumbawanga.Kamanda huyo bado yupo jela na ataapishwa baada ya hukumu kuisha.Kamanda alihukumiwa kwa kumkata vibao kiongozi wa CCM Kristian Kafwimbi
Namfahamu sana mzee Nkulu hana ujinga na masihala ktk kazi. Namkumbuka enzi za Lusaka SEc na mgomo wa wanafunzi akisingiziwa kuendesha siasa kwa walimu na wanafunzi. Big Up Homeland
Ni Kamanda Ameri Nkulu(56) aliyehukumiwa kwenda jela miezi 6,siku 2 kabla ya uchaguzi wa Octoba.Sasa ni diwani wa kata ya Lusaka Sumbawanga.Kamanda huyo bado yupo jela na ataapishwa baada ya hukumu kuisha.Kamanda alihukumiwa kwa kumkata vibao kiongozi wa CCM Kristian Kafwimbi
Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?
Criminal kawa diwani! Waliomchagua wapimwe akili. Halafu, kwa nn mashabiki wengi wa chadema ni wavuta bangi, wanywa gongo, bodaboda wenye asili ya ukibaka, wahuni na wauza miili yao, magaidi, na majambazi?