Ameota nafanya nae mapenzi, ushauri wakuu

Ameota nafanya nae mapenzi, ushauri wakuu

Huyu mrembo nilikua na wazo la kumtongoza na ikiwezekana awe wangu wa maisha, na nilikua namvutia kasi, tunasali nae kanisa moja na huwa tunakutana siku za ibada na mawasiliano ya salam na chating za kawaid kwenye simu, kweli sikua na papara coz nilitaka kujitathmin kua nampenda kwa dhat na nilikua namheshim binti huyu tunaesali nae, pia na alivyo mrembo, mcheshi ilinibidi niwe na tahadhar nisijetolewa nnje nikaishia kuhama kanisa! mmmh Kukataliwa uthiombe, sasa leo asubuh wakat najiandaa kwenda kulijenga taifa ikaingia sms toka kwake tena bila salam nanukuu ''Leo nimeota unanit.....'' sikujibu akatuma tena yani hapa ntafakari raha ulizonipa ndotoni! Ushaur wenu wakuu je ndo styl yake kunitongoza na kweli anafaa kua mke au ana lake? Kumbuka hatunaga utani na sijawah mtongoza

embu nipe namba zake na me me nimpe raha kwenye simu mtoto huyo........hata me me huwa nampendaga sema nilikuwa na muonaga kama hana mambo haya kumbe anapenda nipe na me me namba
 
I see. Utandawazi umewafanya vijana kukosa kabisa mbinu za kutongoza.
 
....and my name is Tony Blair, UK ex-PM.
 
Fikiri mara 2, mwenzako yupo mguu moja mbele anajua anachokitaka na kuweza kukijengea mazingira, usije kurudi na lawama mwenzako akikuhitaji kila akikuona.
Huyu mrembo nilikuwa na wazo la kumtongoza na ikiwezekana awe wangu wa maisha, na nilikuwa namvutia kasi, tunasali nae kanisa moja na huwa tunakutana siku za ibada na mawasiliano ya salamu na chating za kawaida kwenye simu.

Kweli sikuwa na papara kwa sababu nilitaka kujitathimini kuwa nampenda kwa dhati na nilikuwa namheshimu binti huyu tunaesali nae, pia alivyo mrembo, mcheshi ilinibidi niwe na tahadhari nisijetolewa nje nikaishia kuhama kanisa.

Sasa leo asubuhi wakati najiandaa kwenda kulijenga taifa ikaingia message toka kwake tena bila salamu nanukuu ''Leo nimeota unanit.....'' sikujibu akatuma tena yaani hapa natafakari raha ulizonipa ndotoni.

Ushauri wenu wakuu je ndo style yake kunitongoza na kweli anafaa kuwa mke au ana lake?

Kumbuka hatunaga utani na sijawahi mtongoza
 
mkuu subiri kwanza , maadam umesema we ni muumini wa kanisani basi hunabudi kufunga na kusali hadi na wewe uoteshwe kuwa ni wako wa maisha so mjibu tu kuwa na wewe unasubiri ndoto yakoover
 
Mbinu unayotumia umepotea na wakati. Omba usaidiwe shule ya kutongoza.
 
kuch kuch hotaheee.... unaota na yeye anakuota...ngoma droo



Alishagundua kuwa unampenda lakini unasita. Ni njia ya kukurahisishia mchakato. We mwambie kumbe unaweza kuwa unamuwaza mtu naye huku anakuwaza. Sema hata mi nashindwa kuamini maana hata mi nilishawahi kukuota nikawa nasita kukuambia na hilo huwa halikai likanitoka kwenye fikra zangu. Naona hiyo itakuwa ni mipango ya mungu kutukutanisha. Malizia na sentensi nakupenda sana. mkionana mtakuwa mnaongelea hatua nyingine. Hata hivyo hongera in advance maana pamoja na kwamba ushafanya kosa la kuchelewa kumjibu.
 
kuch kuch hotaheee.... unaota na yeye anakuota...ngoma droo

Wakati mwingine ni vigumu kuelewa binadamu tukoje. unatamani kitu na unakipata bado hutaki kukubali kwamba ndo ulichohitaji. Halafu una shift goal post! du!
 
Back
Top Bottom