Ameota nafanya nae mapenzi, ushauri wakuu

Ameota nafanya nae mapenzi, ushauri wakuu

Sasa wewe ulikuwa wamlia kasi. Mungu kakusaidia kwa kumuotesha ndoto, halafu waja kulalamika tena. Mke mwema si hutoka kwa Mungu au? Ndio huyo, Mungu kajibu nia ya moyo wako...
 
Chai ikiwa ya moto sana hainogi kuinywa... maana itaunguza mdomo
 
Dah huyo kafunguka jumla yaani huna haja ya kutuuliza chochote kilichobaki si mazungumzo tena bali kazi ndogo tu ya kumvua pichu na kumtupia mti. Na utamu ukikolea unaweka ndani mazima.
 
Mwalim wangu wa darasa la saba alinifundisha kuwa mwanamke huwa haoti ndoto pevu{za mapenzi}bali hiyo ni tabia ya jinsia ya kiume...hivyo kama uja2nga hiy xtory basi utakuwa ww ndio umeota.
 
Huyu mrembo nilikua na wazo la kumtongoza na ikiwezekana awe wangu wa maisha, na nilikua namvutia kasi, tunasali nae kanisa moja na huwa tunakutana siku za ibada na mawasiliano ya salam na chating za kawaid kwenye simu, kweli sikua na papara coz nilitaka kujitathmin kua nampenda kwa dhat na nilikua namheshim binti huyu tunaesali nae, pia na alivyo mrembo, mcheshi ilinibidi niwe na tahadhar nisijetolewa nnje nikaishia kuhama kanisa! mmmh Kukataliwa uthiombe, sasa leo asubuh wakat najiandaa kwenda kulijenga taifa ikaingia sms toka kwake tena bila salam nanukuu ''Leo nimeota unanit.....'' sikujibu akatuma tena yani hapa ntafakari raha ulizonipa ndotoni! Ushaur wenu wakuu je ndo styl yake kunitongoza na kweli anafaa kua mke au ana lake? Kumbuka hatunaga utani na sijawah mtongoza

Wewe unawaza mapenzi mwenzako anawaza kutom.bwa!..akili kichwani kwako!
 
Mwanaume mwenye nguvu zake kiunoni hana time ya kuomba ushauri wa ndoto nzuri kama hiyo!!!!!!!!
Uanaume wako uko wapi??????????????????

Aisee hawa ndo wapaka Poda wa siku hizi, msichana kakudondokea ati wewe unaomba ushauri duh! wonder shall never end oooh!!
 
Back
Top Bottom