Koooh! kooooh! kooooooh! *swallows spit and goes back to bed quickly!*:sleepy::sleepy::sleepy:
waname bwana ukirahisishiwa unaona hafai kuwa mke ... muhimu we sasa hapo ndiyo uunge umwambie kuwa nakupenda sana nashindwa kukwambia .... yani badala ulale unapata wapi dill kesho unalala unawza utampata lini funguka akikataaa ujue uendelee na misele mingine acha woga......
oooooopsss......!!!
ndoto nzuri huisha ukiamka
muulize kama ameshaamka asije akapata mimba ndotoni bure ikawa yako