banalunda
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 231
- 67
Habari wanajamvi!
Nimeingia kwenye mahusiano mapya mda si mrefu sana ila kiukweli ninampenda huyu binti na yeye pia ananipenda, wakati tunaanza kufahamiana tulianza kuwa marafiki tunaoheshimiana sana, na huyu binti ana heshima sana, tulipoaza kujuana alinitajia umri wake ambao ni miaka miwili zaidi ya umri wangu, ila yeye hajui kwani nilimwambia nimemzidi mwaka mmoja, so hivyo ndivyo anavyjua, sasa tunaendelea vizuri mno ila kinachonipa wasiwasi je, mnadhani hili swala la umri linaweza kuwa kikwazo kwangu kuwa na mwanamke aliyenizidi 2years?
Nimeingia kwenye mahusiano mapya mda si mrefu sana ila kiukweli ninampenda huyu binti na yeye pia ananipenda, wakati tunaanza kufahamiana tulianza kuwa marafiki tunaoheshimiana sana, na huyu binti ana heshima sana, tulipoaza kujuana alinitajia umri wake ambao ni miaka miwili zaidi ya umri wangu, ila yeye hajui kwani nilimwambia nimemzidi mwaka mmoja, so hivyo ndivyo anavyjua, sasa tunaendelea vizuri mno ila kinachonipa wasiwasi je, mnadhani hili swala la umri linaweza kuwa kikwazo kwangu kuwa na mwanamke aliyenizidi 2years?