amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Huyo kwako ni bibi
Mwanaume unatakiwa umzidi mwanamke miaka 5 na isizidi 15years
nikikuuliza hiyo imeandikwa wapi unaweza kunijibu???
Huyo kwako ni bibi
Mwanaume unatakiwa umzidi mwanamke miaka 5 na isizidi 15years
umri sio ishu
nikikuuliza hiyo imeandikwa wapi unaweza
kunijibu???
banalunda hiyo miaka 2 midogo sana na hata angekuzidi miaka 20 kama mnapendana haina shida we kuwa na amani.
Mi nakuombea heri kabisa na mchumba wako mfike kule mnakotarajia
tatizo alishamdanganya kwamba amemzidi. Mpaka mwanamke akakubali kwamba amemzidi umri watakuwa wameshaachana. Wanawake ni wagumu sana kukubali hali hiyo mpaka atakapokuwa desparate unabeba kirahisi.
Customs and practices always not written.
are u needy of some more lecture?