Amenipa mdogo wake

Mkuu dhambi ya uzinzi haijawahi kumwacha MTU salama,unajitafutia nuksi na mikosi,kasome methali 7:1-8,utakuja kunishukuru...na kwanini usiamue kuoa tu...maana uzinzi nichukizo sana mbele za Mungu,tafakari

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
MITHALI 7

1 Mwanangu, shika maneno yangu
na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.
2 Shika amri zangu nawe utaishi;
linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.
3 Yafunge katika vidole vyako;
yaandike katika kibao cha moyo wako.
4Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,”
uite ufahamu jamaa yako;
5 watakuepusha na mwanamke mzinzi,
kutokana na mwanamke mpotovu
na maneno yake ya kubembeleza.
6Kwenye dirisha la nyumba yangu
nilitazama nje kupitia upenyo
kwenye mwimo wa dirisha.
7 Niliona miongoni mwa wajinga,
nikagundua miongoni mwa wanaume vijana,
kijana asiye na akili.

"mimi ni muislamu"
 
Mkuu dhambi ya uzinzi haijawahi kumwacha MTU salama,unajitafutia nuksi na mikosi,kasome methali 7:1-8,utakuja kunishukuru...na kwanini usiamue kuoa tu...maana uzinzi nichukizo sana mbele za Mungu,tafakari

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Huu sio uzinzi, ni uasherati. Uzinzi ni kuwa umeoa/umeolewa halafu unalala na wake/waume za watu!
 
Hii imekaa vipi wakuu!?

Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.

Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.

Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma kikazi. Lakini mawasiliano na yeye hayakuisha... Tuliendelea kuchati na siku moja moja huwa namtongoza tongoza hata kiutani..

Sasa hapo juzi kati, nikamtania kuwa Nina hamu kichizi ya ku-do, akanijibu yeye hawezi kunisaidia chochote kwanza yupo mbali na hata angekuwa karibu asingeweza coz ana mtu. Sababu zile zile..

Jioni ya Leo nimemuambia tena Nina mihamu akasema Cha kunisaidia anaye mdogo wake anasoma Mzumbe Morogoro Ila anafanya field Dodoma, kama nataka amwambie mdogo wake aje anisalimie halafu baada ya hapo nitajiongeza Mimi mwenyewe Ila tu niwe serious na mdogo wake..

Kanitumia picha za mdogo wake ni mkali kichizi japo hamfikii dada yake.

Sasa wakuu kusema kweli Mimi nampenda dada yake, vipi nipige huyu mdogo!?

Au niendelee kurusha ndoano kwa dada mtu!?
aiseeee Mh Mwigule ebu ongezaa tozo... hii trash why why why matumizi mabaya ya bando na tozo brother ongeza ili watu kama hawa wasiwepo JF
 
Mkuu.. natumai hadi sasa wadau watakuwa wamesha litazama hilo. Sasa kaagize konyagi unywe, alafu uone lipi bora.
 
Hii imekaa vipi wakuu!?

Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.

Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.

Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma kikazi. Lakini mawasiliano na yeye hayakuisha... Tuliendelea kuchati na siku moja moja huwa namtongoza tongoza hata kiutani..

Sasa hapo juzi kati, nikamtania kuwa Nina hamu kichizi ya ku-do, akanijibu yeye hawezi kunisaidia chochote kwanza yupo mbali na hata angekuwa karibu asingeweza coz ana mtu. Sababu zile zile..

Jioni ya Leo nimemuambia tena Nina mihamu akasema Cha kunisaidia anaye mdogo wake anasoma Mzumbe Morogoro Ila anafanya field Dodoma, kama nataka amwambie mdogo wake aje anisalimie halafu baada ya hapo nitajiongeza Mimi mwenyewe Ila tu niwe serious na mdogo wake..

Kanitumia picha za mdogo wake ni mkali kichizi japo hamfikii dada yake.

Sasa wakuu kusema kweli Mimi nampenda dada yake, vipi nipige huyu mdogo!?

Au niendelee kurusha ndoano kwa dada mtu!?
Piga wote mkuuu
 
Mkuu dhambi ya uzinzi haijawahi kumwacha MTU salama,unajitafutia nuksi na mikosi,kasome methali 7:1-8,utakuja kunishukuru...na kwanini usiamue kuoa tu...maana uzinzi nichukizo sana mbele za Mungu,tafakari

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app

Nakazia📌🔨

MITHALI 6:32​

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Hii imekaa vipi wakuu!?

Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.

Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.

Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma kikazi. Lakini mawasiliano na yeye hayakuisha... Tuliendelea kuchati na siku moja moja huwa namtongoza tongoza hata kiutani..

Sasa hapo juzi kati, nikamtania kuwa Nina hamu kichizi ya ku-do, akanijibu yeye hawezi kunisaidia chochote kwanza yupo mbali na hata angekuwa karibu asingeweza coz ana mtu. Sababu zile zile..

Jioni ya Leo nimemuambia tena Nina mihamu akasema Cha kunisaidia anaye mdogo wake anasoma Mzumbe Morogoro Ila anafanya field Dodoma, kama nataka amwambie mdogo wake aje anisalimie halafu baada ya hapo nitajiongeza Mimi mwenyewe Ila tu niwe serious na mdogo wake..

Kanitumia picha za mdogo wake ni mkali kichizi japo hamfikii dada yake.

Sasa wakuu kusema kweli Mimi nampenda dada yake, vipi nipige huyu mdogo!?

Au niendelee kurusha ndoano kwa dada mtu!?

Kwahiyo ushaungwa😃😃😃
 
Back
Top Bottom