Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,238
- 22,671
Baada ya miezi mitatu usije kulia umepata ukimwi hapa
MITHALI 7Mkuu dhambi ya uzinzi haijawahi kumwacha MTU salama,unajitafutia nuksi na mikosi,kasome methali 7:1-8,utakuja kunishukuru...na kwanini usiamue kuoa tu...maana uzinzi nichukizo sana mbele za Mungu,tafakari
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Utaoa kwa sababu ni mkali sana. Sawa mkubwaDada mtu ni mkali kichizi,mkali Sana, nikimla nahisi nitaharibu CV... dada mtu akikubali naoa
Huu sio uzinzi, ni uasherati. Uzinzi ni kuwa umeoa/umeolewa halafu unalala na wake/waume za watu!Mkuu dhambi ya uzinzi haijawahi kumwacha MTU salama,unajitafutia nuksi na mikosi,kasome methali 7:1-8,utakuja kunishukuru...na kwanini usiamue kuoa tu...maana uzinzi nichukizo sana mbele za Mungu,tafakari
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
aiseeee Mh Mwigule ebu ongezaa tozo... hii trash why why why matumizi mabaya ya bando na tozo brother ongeza ili watu kama hawa wasiwepo JFHii imekaa vipi wakuu!?
Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.
Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.
Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma kikazi. Lakini mawasiliano na yeye hayakuisha... Tuliendelea kuchati na siku moja moja huwa namtongoza tongoza hata kiutani..
Sasa hapo juzi kati, nikamtania kuwa Nina hamu kichizi ya ku-do, akanijibu yeye hawezi kunisaidia chochote kwanza yupo mbali na hata angekuwa karibu asingeweza coz ana mtu. Sababu zile zile..
Jioni ya Leo nimemuambia tena Nina mihamu akasema Cha kunisaidia anaye mdogo wake anasoma Mzumbe Morogoro Ila anafanya field Dodoma, kama nataka amwambie mdogo wake aje anisalimie halafu baada ya hapo nitajiongeza Mimi mwenyewe Ila tu niwe serious na mdogo wake..
Kanitumia picha za mdogo wake ni mkali kichizi japo hamfikii dada yake.
Sasa wakuu kusema kweli Mimi nampenda dada yake, vipi nipige huyu mdogo!?
Au niendelee kurusha ndoano kwa dada mtu!?
Piga wote mkuuuHii imekaa vipi wakuu!?
Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.
Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.
Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma kikazi. Lakini mawasiliano na yeye hayakuisha... Tuliendelea kuchati na siku moja moja huwa namtongoza tongoza hata kiutani..
Sasa hapo juzi kati, nikamtania kuwa Nina hamu kichizi ya ku-do, akanijibu yeye hawezi kunisaidia chochote kwanza yupo mbali na hata angekuwa karibu asingeweza coz ana mtu. Sababu zile zile..
Jioni ya Leo nimemuambia tena Nina mihamu akasema Cha kunisaidia anaye mdogo wake anasoma Mzumbe Morogoro Ila anafanya field Dodoma, kama nataka amwambie mdogo wake aje anisalimie halafu baada ya hapo nitajiongeza Mimi mwenyewe Ila tu niwe serious na mdogo wake..
Kanitumia picha za mdogo wake ni mkali kichizi japo hamfikii dada yake.
Sasa wakuu kusema kweli Mimi nampenda dada yake, vipi nipige huyu mdogo!?
Au niendelee kurusha ndoano kwa dada mtu!?
Tunaomba mama akupe wizara ya utamaduni.Piga wote mkuuu
Sio wizara ya jinsia.....Tunaomba mama akupe wizara ya utamaduni.
Baki hapo hapo kwenye utamaduni, sanaa na "michezo". 🤣🤣🤣Sio wizara ya jinsia.....
Mkuu dhambi ya uzinzi haijawahi kumwacha MTU salama,unajitafutia nuksi na mikosi,kasome methali 7:1-8,utakuja kunishukuru...na kwanini usiamue kuoa tu...maana uzinzi nichukizo sana mbele za Mungu,tafakari
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Kama atakutumia pia namba ya mdogo wake hahaEmbu nitumie hyo namba za dada ake nitakupa mrejesho
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa natuliza ball hapoBaki hapo hapo kwenye utamaduni, sanaa na "michezo". 🤣🤣🤣
Hii imekaa vipi wakuu!?
Kuna dada mmoja hivi, nilionana nae kazini kwangu miaka hiyo, 2018 wakati nipo Dar Es Salaam kipindi hicho.
Tukazoeana Sana. Chating kwa wingi mno. Nikaanza kumpenda Ila kila nikimtongoza ananitolea nje, anasema yeye ana mtu tayari.
Sasa mwaka 2020 nikahamia Dodoma kikazi. Lakini mawasiliano na yeye hayakuisha... Tuliendelea kuchati na siku moja moja huwa namtongoza tongoza hata kiutani..
Sasa hapo juzi kati, nikamtania kuwa Nina hamu kichizi ya ku-do, akanijibu yeye hawezi kunisaidia chochote kwanza yupo mbali na hata angekuwa karibu asingeweza coz ana mtu. Sababu zile zile..
Jioni ya Leo nimemuambia tena Nina mihamu akasema Cha kunisaidia anaye mdogo wake anasoma Mzumbe Morogoro Ila anafanya field Dodoma, kama nataka amwambie mdogo wake aje anisalimie halafu baada ya hapo nitajiongeza Mimi mwenyewe Ila tu niwe serious na mdogo wake..
Kanitumia picha za mdogo wake ni mkali kichizi japo hamfikii dada yake.
Sasa wakuu kusema kweli Mimi nampenda dada yake, vipi nipige huyu mdogo!?
Au niendelee kurusha ndoano kwa dada mtu!?