Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,061
- 8,086
Hizo kazi hapanaMakubaliano...upewe msaada na wewe utoe kinachohitajika...au kitakapohitajika.
Vipi na yeye akipata shida😅😅😅😅 atatoa nini??
Acheni mindset na kukuza hizo mambo
Hizo kazi hapanaMakubaliano...upewe msaada na wewe utoe kinachohitajika...au kitakapohitajika.
Upo mkuu??Yeah...you must pay the price (In order to get, you must give)
Hio phrase ya pili asa inahusu nn😅😅😅Nipe nikupe
Katavi inauzwa buku tu uyo yey anauza bukuKwamba bidada kaamua kwa kila tendo atamuuzia K kwa shilingi 892.8 za kitanzani ili jumla apate 50k.
Nini kifanyike?Kwahiyo huwezi kumsaidia/kumkopesha mtu hadi ulale nae siku 56? Hii nchi vijana mnazidi kupotea jiangalieni