MKULUB
Member
- May 7, 2016
- 24
- 13
Kama kichwa cha habari kinavyosema.... nikamtumia nauli...amekuja toka atokapo......amefika akanza kujibalaguza...mara anataka ondoka, mara anachelewa...nikamuomba na kumbembeleza...akanza sijui atachelewa....mara tumbo linauma...nikaona siyo kesi..nikamwambia powa..kabla hajaondoka akaniambia anaomba nimsaidie hela ya matumizi..nikamchunia..basi akaondoka kwa hasira...mpaka leo sijamtafuta..hajanitafuta.
Sasa wadau mimi ninakosa gani?
Sasa wadau mimi ninakosa gani?