Ameniganda eti lazima nimuoe

kula kitumbua bule bule tu nani kasema umelikoroga hillllo lako. piga ua utaoa tu no kumuacha, mmezoea sana ningekuwa mimi had kwa mganga naenda
 
ningejua nisingempa penzi la kweli. ona sasa amenogewa
 
ningejua nisingempa penzi la kweli. ona sasa amenogewa

mzee acha kujivunga; angekuwa alikuwa ni mapoozeo kwako usingelimuonjesha hilo penzi la kweli; maadam ulimpa penzi la kweli basi unamaapenda hebu maliza udhia; tena anakujia na faida ya watoto mapacha; mungu akupe nini kidonda?
 
Alafu Hazole unaanza kunipa wasi na topic zako... Kwanza ilikua ni barmaind ambae anakung'ang'ania umuoe... Pili ilikua kutupa taarifa kua umepata mchumba (ambae nakumbuka hukunijibu kama ni yule barmaid ama lah!) Kupitia topic yako ya "ulazima wa kuoa" Hii topic has you on the hooks eeeh??

Habari yako Hazole (Sema mkuu kama kweli serious, ili kweli tutoe ushauri...)

Uko na memory card ya GB ngapi ktk brain yako mama cuz umekumbuka yote kiasi kwamba hata Hazole hakumbuki aliyoyasema!
 
Nahisi unampenda hapa umekuja kutupotezea muda. kama issue ilikua mapumziko tu, unashindwa nini kumwambia ukweli? mapacha apewe na nani halafu ndoa umpe wewe? hebu malizaneni wenyewe, usituchoshe hapa.
 
Kwanini hutaki kumuoa? muoe..kwanini utembee naye halfu ukaoe wengine kwani yeye ana nini?
 
mkuu sijawahi kumpa mimba...soma vizuri. alizalishwa miaka mingi huko nyuma. mimi tulikuwa tunapeana raha tu, au kosa hatukuandikiana written agreement? no, tulikutana kiswazi swazi na ataachwa kiswaziswazi tu
hayo maneno yake,ni walewale wachezeaji tu
 
hama hapo kimya kimya. Kama haelewi mwambie girlfriend wako aje hapo kama wiki 2 hv, huyo king'ang'anizi akija akukute nae. Ataacha
 
Tutakueleza nini sisi wakati jawabu unalo! Umsema hata aje na jeshi la NATO huwezi kumuoa.
 
mzee acha kujivunga; angekuwa alikuwa ni mapoozeo kwako usingelimuonjesha hilo penzi la kweli; maadam ulimpa penzi la kweli basi unamaapenda hebu maliza udhia; tena anakujia na faida ya watoto mapacha; mungu akupe nini kidonda?

haaahaahaa kweli wewe ni jeuri. haya bwana
 
Uko na memory card ya GB ngapi ktk brain yako mama cuz umekumbuka yote kiasi kwamba hata Hazole hakumbuki aliyoyasema![/QUO
ASHADII ni balaa. ila ni mshauri wangu mkubwa. ana 250 GB mkuu. angekuwa wife wangu amakweli ingebidi nibadilike mambo mengi kuendana na kasi na viwango vyake
 
yaani wewe umemchezea mtoto wa watu miezi 8 halafu unataka umuache bila sababu.hapana haiwezekana.sema kakukosea nini.mtu ana kuheshimu anakutunzia penzi umemchokonoa wewe yupo hoi halafu leo unamuacha hivihivi.sasa kwanini umempotezee mda na kumumiza mtima?si bora usingemuonjesha?acha akugande.mimi nataka umuoe au utoe sababu za msingi zinazoeleweka kwanini hutaki kumuoa.hakuridhishi?ni mchawi?hajatulia?hazai?nini sababu.hii kesi ianze upya.mia
 
Alafu Hazole unaanza kunipa wasi na topic zako... Kwanza ilikua ni barmaind ambae anakung'ang'ania umuoe... Pili ilikua kutupa taarifa kua umepata mchumba (ambae nakumbuka hukunijibu kama ni yule barmaid ama lah!) Kupitia topic yako ya "ulazima wa kuoa" Hii topic has you on the hooks eeeh??

Habari yako Hazole (Sema mkuu kama kweli serious, ili kweli tutoe ushauri...)
unakumbukumbu nzuri sana!!
 
Unalo hilo! Ndo mkome manake hamtakagi kupitwa,

Habari ndugu zangu wana jf,
nina rafiki yangu wa kike tumekuwa wapenzi miezi 8 sasa, kiumri tupo sawa.ana watoto wawili mapacha alizaa akiwa na miaka 19. Mimi sijawahi panga kumuoa huyu binti, sasa kuanzia mwezi uliopita nikaamua rasmi kutengana naye. Nilikaa nae kuzungumza kwamba uhusiano wetu si wa milele(pia sijawahi kumwambia kwamba nitamuoa) so, kuachana kupo njenje.daaaahhhh kama nilichokoza nyuki vile, kaamua kuniganda, anataka awe anakuja home kwangu kila siku na simu haziishi.nimeongeza msimamo wangu kwamba sasa ndo basi maana imekuwa fujo sasa.
Jana kanipigia simu ananiambia "piga ua lazima unioe"
duh nikasema hapa kazi ninayo, jamani ushauri wenu maana ngoja werevu mseme huyu anang'ang'ania nini?
By any means siwezi muoa hata aje na jeshi la nato.
Thanks
 
Oa huyo huyo, umemchezea miezi 8 kumbe huna mpango naye, unataka kumuoa nani sasa? Kijana bahati inakupita hiyoooo!!!!!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom