Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,648
- 6,409
Hiyo ni ishara kwamba wanakutafuta pengine kuna kitu kinakulinda we hujuiDaah acha kunitsha mkuu
Hiyo ni ishara kwamba wanakutafuta pengine kuna kitu kinakulinda we hujuiDaah acha kunitsha mkuu
Aisee kwa mfumuko wa bei za vyakula bora kununua Mahind na kusaga, kwasbbu Mahind 1kg=700 kusaga 100Tsh kwaiy kg 1 =800 au 900 ukikoboaHaya maisha ya kusaga mahindi mashineni na kuenda kupika bado yapo ? Haya ni maisha ya mwaka 2000 huko
Hata huko LONDONUwe unaoga mkuu na kupiga mswaki kabla ya kutimba kitaa, watu wa type yako mnatuletea gundu kwenye harakati zetu
Chumv ya mawe unaitia kweny maj au
Ahsante sana Mkuu...![]()
Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza
Habarini za usiku huu Ningependa kushare nanyi hii tiba mbadala ya chumvi kwa wale waamini na wenye uhitaji, hii si uchawi ushirikina wala ulozi na wala huhitaji kwenda kwa 'mtaalam' kupoteza pesa na muda wako huku ukiwa kwenye hatari ya kutapeliwa nk Chumvi yenye matokeo bora ni chumvi ya...www.jamiiforums.com
Ndo mana yake ila wewe komaa na Jeshi la mbinguni tuuInawezekana!!!!
Istoshe nimekuja kitoto tu
Maana weng wanaamin had ujikinge
Ni mpuuzi tu asipoangalia ataferi maisha.....Wanajukwaa, yule msagaji wa mashine nimepata taarifa zake japo kwa uchache...
Huyu jamaa kipind cha nyuma alkuw na maisha safi saana, mwishoe akafirisika...
Aliuza had nyumba,, baada ya kuangaika kwa mda mrefu akapata iko kibarua cha kusaga apo mashnen...
Mimi binafs ninamfaham kwa tabia hizi
Muonekano ni mfupi na mnene
Hana lugha nzur na wenzak(wateja), anajkubali saana
Tafuta pesa kwa uchungu sana....Habari wanajukwaa,
Leo asubuhi imetokea sitofaham nilipoenda mashinen kusaga nafaka..
Niliishiwa unga ghetto nikaenda mashnen kusaga mahindi, nilipofika tu msagaji akaniulza utasaga kg ngapi nikamwambia tano tu. Mahindi yanauzwa hapo hapo.
Jamaa akanambia wiki ilopita nilipokuja kusaga hakupata hela, yaani hakupata wateja wa kununua Mahindi na kusaga.
Kwaiyo biashara nkiifungua mimi atakosa wateja wa kutosha kwa sababu siku niliyoanza kuhudumiwa mimi hakupata hela.
Kiukweli nilijisikia vbaya, akasema nkihtaj nikanunue Mahindi sehem nyingne halaf yeye atanisagia, binafsi nikaona kanidhalilisha nikaenda kusaga sehem nyingne sikurud tena kwake.
Wafanya biashara(walimwengu) hii imekaaje, siku ya leo nimekosa amani kabsa kutokana na tukio hilo..
NB: Jamaa wa mashnen sina utan nae hata kidogo ni mtu mzima (40-50 miaka).
Najiulza kaniona mi KITORA au NINAGUNDU?
Uwe na amani, hakuna lolote!Chumv ya mawe unaitia kweny maj au
Boss,kwani wewe ugali unaokula unanua unga tuu?Haya maisha ya kusaga mahindi mashineni na kuenda kupika bado yapo ? Haya ni maisha ya mwaka 2000 huko