Tit4tat
Member
- May 31, 2022
- 58
- 171
Habari wanajukwaa,
Leo asubuhi imetokea sitofaham nilipoenda mashinen kusaga nafaka..
Niliishiwa unga ghetto nikaenda mashnen kusaga mahindi, nilipofika tu msagaji akaniulza utasaga kg ngapi nikamwambia tano tu. Mahindi yanauzwa hapo hapo.
Jamaa akanambia wiki ilopita nilipokuja kusaga hakupata hela, yaani hakupata wateja wa kununua Mahindi na kusaga.
Kwaiyo biashara nkiifungua mimi atakosa wateja wa kutosha kwa sababu siku niliyoanza kuhudumiwa mimi hakupata hela.
Kiukweli nilijisikia vbaya, akasema nkihtaj nikanunue Mahindi sehem nyingne halaf yeye atanisagia, binafsi nikaona kanidhalilisha nikaenda kusaga sehem nyingne sikurud tena kwake.
Wafanya biashara(walimwengu) hii imekaaje, siku ya leo nimekosa amani kabsa kutokana na tukio hilo..
NB: Jamaa wa mashnen sina utan nae hata kidogo ni mtu mzima (40-50 miaka).
Najiulza kaniona mi KITORA au NINAGUNDU?
Leo asubuhi imetokea sitofaham nilipoenda mashinen kusaga nafaka..
Niliishiwa unga ghetto nikaenda mashnen kusaga mahindi, nilipofika tu msagaji akaniulza utasaga kg ngapi nikamwambia tano tu. Mahindi yanauzwa hapo hapo.
Jamaa akanambia wiki ilopita nilipokuja kusaga hakupata hela, yaani hakupata wateja wa kununua Mahindi na kusaga.
Kwaiyo biashara nkiifungua mimi atakosa wateja wa kutosha kwa sababu siku niliyoanza kuhudumiwa mimi hakupata hela.
Kiukweli nilijisikia vbaya, akasema nkihtaj nikanunue Mahindi sehem nyingne halaf yeye atanisagia, binafsi nikaona kanidhalilisha nikaenda kusaga sehem nyingne sikurud tena kwake.
Wafanya biashara(walimwengu) hii imekaaje, siku ya leo nimekosa amani kabsa kutokana na tukio hilo..
NB: Jamaa wa mashnen sina utan nae hata kidogo ni mtu mzima (40-50 miaka).
Najiulza kaniona mi KITORA au NINAGUNDU?