Amekua mtu wa kununa nuna muda wote

Amekua mtu wa kununa nuna muda wote

Habari zenu wadau,

Jamani mimi ni kijana ambaye nipo kwenye ndoa miaka 2 sasa na tumebahatika kupata mtoto mmoja na huyu mke wangu.

Toka nilivyomuoa tumekua tukiishi kwa amani kabisa lakini sasahivi naona kuna tabia mpya ameianzisha ni tabia ya kununa bila sababu ya msingi, najaribu kumridhisha na kumfurahisha lakini hata hajali.

Hebu nisaidieni wadau atakua na tatizo gani?

Na mimi ni mtu wa kusafirii kila mara kikazi.
Msaada wa kufunga ndoa
Ebu ona unavyo jichanganya...[emoji34] [emoji34]
Shubamit......[emoji51] [emoji51]
 
Back
Top Bottom