shangwe1
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 448
- 362
Habari zenu wadau,
Jamani mimi ni kijana ambaye nipo kwenye ndoa miaka 2 sasa na tumebahatika kupata mtoto mmoja na huyu mke wangu.
Toka nilivyomuoa tumekua tukiishi kwa amani kabisa lakini sasahivi naona kuna tabia mpya ameianzisha ni tabia ya kununa bila sababu ya msingi, najaribu kumridhisha na kumfurahisha lakini hata hajali.
Hebu nisaidieni wadau atakua na tatizo gani?
Na mimi ni mtu wa kusafirii kila mara kikazi.
Jamani mimi ni kijana ambaye nipo kwenye ndoa miaka 2 sasa na tumebahatika kupata mtoto mmoja na huyu mke wangu.
Toka nilivyomuoa tumekua tukiishi kwa amani kabisa lakini sasahivi naona kuna tabia mpya ameianzisha ni tabia ya kununa bila sababu ya msingi, najaribu kumridhisha na kumfurahisha lakini hata hajali.
Hebu nisaidieni wadau atakua na tatizo gani?
Na mimi ni mtu wa kusafirii kila mara kikazi.