Amejingiza kwenye tabia za usagaji

Amejingiza kwenye tabia za usagaji

Yeah lakini haupaswi kimuonyesha hilo. Shirikiana nae vyema bila ya kumnyanyapaa. .Lakini huo mkumbo alioufuata una mtoa katika sifa ya kuwa mke bora. ...

ina maana next time mkigombana kidogo then aka kutana na mwanaume akamshawishi kumla 0712 si atakubali! !!so wewe unaona kuwa mwanamke mwenye sifa hiyo ana deserve kuwa mke bora!!! ??Hapaswi kuwa na akili ya kushikiwa

Kaka ni kwel nikichelew habar hizi nawez zisikis bora nibadili gia angani tu niwe nae nafanya yngu hata ikiniuma si kataka mwenyew heshima nliyompa ajakubali
 
Hiyo kitu ni kama kula nyama ya mtu sana sana atakua bisexual tu unamla na akikutana na huyo ndugu yake wanakoboana,ila mkuu threesome inakubeep hiyo usiiache
eti 3some inakubeep usiache!
 
Haya usiku mwema
Kaka ni kwel nikichelew habar hizi nawez zisikis bora nibadili gia angani tu niwe nae nafanya yngu hata ikiniuma si kataka mwenyew heshima nliyompa ajakubali
 
Ana sifa ya kuwa Mkweli binafsi kama ni Mimi sina neno nae hata wakiendelea na nduguye.

Mwanamke akiwa mkweli kwako ni moja ya kukuheshimu, Kama hutaki unaweza kuwa nae ukambadilisha kwa mazungumzo.

Ukienda kwa Mwingine utakutana na jengine pengine kubwa zaidi ya ili na usijue, ila wote walio kuzunguka wakawa wajua.

Matatizo hayakimbiwi Mkuu.
Uongo
 
Yeah lakini haupaswi kimuonyesha hilo. Shirikiana nae vyema bila ya kumnyanyapaa. .Lakini huo mkumbo alioufuata una mtoa katika sifa ya kuwa mke bora. ...

ina maana next time mkigombana kidogo then aka kutana na mwanaume akamshawishi kumla 0712 si atakubali! !!so wewe unaona kuwa mwanamke mwenye sifa hiyo ana deserve kuwa mke bora!!! ??Hapaswi kuwa na akili ya kushikiwa

Mkuu neno umeongea! Najua kweny sifa hayupo sio mke bor anaweza kufanya na hata mfanyakaz wa ndani ishamuingia hiyo hali je nijitahid kwa kuvumilia itaniuma nicmwache nimtoe rinda nimuache?au je niwe nakula hiyo nimuache? Naona kama nitahukumiwa zaidi yote nakuw nimemuharibia zaid
 
Vile vifungu uchwara vya Sodoma na Gommorah havi-apply kwenye hii kitu?
 
Back
Top Bottom