Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Ni mshikaji wa muda mrefu!Tulifahamiana Tabora School(Boys) miaka iyooo.Tulipendana sana sbb 2likuwa tukiishi room moja,hata baada ya kumaliza tuliendelea na Elimu ya juu tena kwa Mafanikio makubwa. Jamaa yangu ni mtalaam wa i minara ya simu ktk kampun flani ya simu apa Tz,ana mpenz wake ambaye jamaa yng ana nia kabsa ya kuoa..uyu dada(shemej yangu)ni mkaguzi(Auditor)..."wanapendana sana"...lakn kama wiki imepta Mwanamke alpata likzo,akamua toka kwao kuja kukaa kwa rafk yngu kwa mda..ktk kipindi iki jamaa yangu aligundua ktk mkoba wa mpenz wake kuna "kadi",maelekezo na namna ya ku2mia vdonge vya kurefusha maisha,msichana hakuwah kumwambia jamaa wala ata sisi atukuwah kujua...japo kuna wakat walikuwa wanataka kwenda kupma ila mwnmke akawa relactant...jamaa anashndwa atamuanzaje mwanamke kumuliza mana alpekua tu mkobani bila ruhusa. Sabab mi n rakfye kanishrksha,jamaa kachanganyikiwa mpaka baadh ya kazi za kwenda kurekebsha minara watu wapate netwek kaziweka pending...yaan kachzka!TUNAFANYAJE?Mana mjini kushakuwa kuchungu..huzun yake n huzuni yangu! NAWASILISHA: