Ushaanza kumeza ndoano hapa shauri yako, achana na haya maamuzi, no discussion na mke wa mtu, muongee kwamba wewe ni sperms donor ama?
Naona kaandika sili badala ya siriUshaanza kumeza ndoano hapa shauri yako, achana na haya maamuzi, no discussion na mke wa mtu, muongee kwamba wewe ni sperms donor ama?
Maisha ndo haya haya..... Hadi umeandika huu Uzi lazima Kuna kitu unafikilia........ Fanya kile ambacho unafikilia....... Na kama utakubali akikupa nyumba iuze nunua nyingine mahali pengine maan ya mbeleni hatuyajuiWadau habari,
Mimi ni kijana wa Makamo nna maisha mzuri tu na sijaoa. Sasa kuna Dada mmoja tulikaa naye mtaani(familia zetu) baada ya muda mrefu tumeonana nae nae baada ya mimi kuhamishiwa kikazi Mwanza.
Uyo dada kaolewa na ana muda mrefu kwenye ndoa lakini hajabahatika kupata mtoto... kwa kuwa tulikuwa tunafahamiana huko nyuma basi tumekuwa marafiki wa kawaida tu.
Siku za hivi karibu amewatuma rafiki zangu kama wa nne hivi waje waniombe nizae nae.. mi nikawa nachukulia utani. Baada ya muda kupita kamtuma mdogo wangu wa kiume akiomba aje aniambie jambo lilelile. Mimi sikuchulia serious muda umepita kanivaa mwenye mkavu kaniomba nimsaidie nimpe mimba tu.
Baada ya kuhoji kuhusu mumewe , akaniambia yupo ila wamejaribu imeshindikana na mumewe ni mtu mzima. Uyo dada kuonyesha yupo serious kuna kiasi cha pesa anata kunipa (pesa ndefu), nilipo muuliza mumewe akijua kasema hawezi kujua maana siri ya mtoto ni Mama, na mumewe alisha wahi kuwa na watoto wa2 huko nyuma na mwanamke mwingine kabla ya kufunga naye ndoa. Hivyo mumewe kizazi anacho ila ndo hajui tatizo kwa nini hapati mimba.
Weekend hii amekuja na picha za nyumba anasema zinauzwa nichague aninunulie kama zawadi nikikubali kumpa mimba, tatizo mimi nafahamika kwao na uyo dada maana familia zetu zinaishi jirani.. na kitu dada anaona mimi nafanana kidogo na mume wake, hivyo hata mtoto akizaliwa hakuta kuwa na issue sana. Kumbuka mimi pia nna position nzuri tu Serikalini, nawaza hii issue mbeleni uyo mwanamke hawezi kuitumia kama siraha kwangu ya kunichafua.
Wadau naomba ushauri nile mtego na chambo wake au niendelee kupotezea, au nichukue pesa au nyumba nikamilishe mchezo na mke wa mtu?
Umetupa na. Mfano kabisaMsome Equation hapa chini, ana maoni mazuri sana juu ya hilo jambo.
![]()
Sioni faida yoyote kuzaa mtoto ambaye hatokuwa chini ya himaya yangu
Nilikuwa kwenye mahusiano na mke wa mtu, ambapo bidada baada ya kunogewa alishauri tuzae mtoto, ambapo atabeba mimba yangu, na kumuhadaa mumewe kuwa ni mimba yake, pia na mtoto atakayezaliwa atatumia jina la mumewe. Kutokana na ushawishi, ilibidi nimkubalie na kwa sasa yuko karibuni kujifungua...www.jamiiforums.com
Anza Sai,Nkate undolia kugaliNianze SAI, ama nianze NKATE
![]()
Halafu nyumba cjui ya mabox.Machai mengine hata hayaungwi vizuri. Chai bila sukari ni uboya
In Vitro Fertilisation au IVF. AI iko zaidi kimifugo mifugo
Kama ana pesa ya kukununulia nyumba IVF inamshindaje? Balaa linaloweza kukukuta huko mbeleni utarudi hapa kutusimulia.
IUI ni kitu gani mkuu, naomba elimuHata kama hana hela ndefu IUI ni rahisi zaidi. Ukilinbanisha na njia anayowazia. Nadhani ni kwa kuwa watu hawana taarifa sahihi.
Msingi mkuu: unafanya vipimo kuangalia lini yai linaachiwa/ovulation. Anafanyiwa na hormones analyaia kama yuko sawa.IUI ni kitu gani mkuu, naomba elimu
Ni kweli na amshauri tu huyu waende na mumewe wakapandikize mimba.Kwa sasa ni sehemu ya suluhisho kwa matatizo mengi ya infertility kwa wanandoa au wenye kuhitaji kupata watoto kwa mtindo huo/bila kuhusisha mzazi wa pili moja kwa moja/baba.
😆😋😋Ngoja nikupe chap,hiz mimba Nazo kuzipata ni bahati sikuhiz🤨