Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,315
- Thread starter
- #61
Shobo-KushobokeaKu-balance shobo ndio inakuwa vipi?
Au maana yake ni nini?
Kwa hiyo nisimshobokee kupita kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Shobo-KushobokeaKu-balance shobo ndio inakuwa vipi?
Au maana yake ni nini?
aseee..hivi vijana mbona mnaoa kirahisi hivi?mnajua ndoa kweli nyie?miezi miwili tayari unataka muoa?faken🖕Nlipanga kumuoa mwaka huu ila kuna mambo yameingiliana na nilimwambia siku chache nyuma kuwa anivumilie huu mwaka uishe
So labda itakua ndo sababu
Sent using Jamii Forums mobile app
aseee..hivi vijana mbona mnaoa kirahisi hivi?mnajua ndoa kweli nyie?miezi miwili tayari unataka muoa?faken![]()
Mkuu hapana kwa kweli
kumtongoza ni desturi tu kwa hiyo kama amenikubalia ni jukumu lake kuonesha kweli alinikubalia sio mapenzi ya upande mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo unataka ye ajipendekeze kwako siku zote bila kuona kama mnabalance huo ukaribu? Yaan unitongoze miezi miwili mnatextiana tu afu we unataka yeye ndo anakuwa wa kwanza kujipendekeza dahNnahisi kuna vitu alitaraji kutoka kwangu na hajavipata mpaka sai so kaanza kujitoa taratibu ko mimi kuanza kumuuliza et kwann unajibu sai nadhan ni udhaifu.
Nnavojua girls wakiwa really wanapenda sana kama ambavo amekua akifanya siku kadhaa nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo unataka ye ajipendekeze kwako siku zote bila kuona kama mnabalance huo ukaribu? Yaan unitongoze miezi miwili mnatextiana tu afu we unataka yeye ndo anakuwa wa kwanza kujipendekeza dah
Pengine nitakuwa nimechelewa ila ningependa ujumbe ukufikie. Siku hizi, kwakuwa wengi hawana uhakika na mapenzi/mapendo ya kweli kama yapo kwa wenza wao, huamua kutafuta; kwa mfano, mwanaume anashauriwa asioe golikipa, yaani ni lazima atafute mtu msomi mwenye mwelekeo wa kukusaidia kwenye majukumu ya kulea familia AU mwenye kujishughulisha ingawa wanapendelewa zaidi wasomi....sasa hiki kigezo ndo kinakuwa kinasimamia muunganiko wenu, MSAIDIZI WA KUPAMBANA NA UGUMU WA MAISHA.Usitafute msaidizi wa kupambana na maisha!Sijakuelewa mkuu!una maanisha nin?madhara yake ni yapi??nataka kuandika zaidi!naishia hapo!!!