Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Inaelekea unajua vyema tatizo, sijui kwanini umeamua kuanzisha uzi Jonah Hex,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
.Hayupo. Mtengeneze.....la, tafuta kigoli ingawa na yeye lazima utaanza kwa kumtengeneza.Nataka mke ambae ana passion na mimi
sio hawa wa mapenzi ya muda kama utamu wa mua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kahuni nimesha notisiHiyo salamu Niaje! Kuwa makini alarm hiyo
Mwanamke anaye kupenda na kukuheshimu hawez kukuambia hivo take care
Mchunguze kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo nimeanza hapa kapo kanalalamika eti nakakaushia nadhan kalidhani mimi ni yule wa kupiga piga masimu nijue kwanini hakajibu meseji
Hapana sema niko makini sanaYaani kuchelewa kujibu sms ndo unafikiria kumwacha, utakuwa umempata mwingine tu labda, kama sivyo jitahidi kumfanyia vitu ambavyo mpenzi hufanyiwa, usimjaribu ili upate visingizio
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana kuwa makini sikiliza Ushauri wa wakubwa zako na baba zako hapaNdo nimeanza hapa kapo kanalalamika eti nakakaushia nadhan kalidhani mimi ni yule wa kupiga piga masimu nijue kwanini hakajibu meseji
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitafute msaidizi wa kupambana na maisha!Sijakuelewa mkuu!una maanisha nin?madhara yake ni yapi??nataka kuandika zaidi!naishia hapo!!!Nilidhani utajali moyo wako zaidi!
Ni rahisi tu, jiandae kuwa mwanaume mwanababa; na ili kufikia hapo, unapaswa kuanza kumtengeneza mke mtarajiwa, na hiyo ni pamoja na ku-SACRIFE vigezo na masharti yako.
ONYO: Tafuta mke, andaa mke....usitafute msaidizi wa kupambana na maisha.