Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,315
Habari wakuu
Kuna binti mmoja nlianzisha nae mahusiano miezi miwili sasa japo bado sijamla
sababu ya muda wangu kunibana sana ila amekua akionesha upendo upendo flan mkubwa sana
Ila saivi kaanza kitabia unaweza mtxt asubuhi akajibu usiku,mfano sai nnavoandika hii post ndo sms yake inaingia tena kwa salamu ya "Niaje" wakati siku za kadhaa nyuma nlikua naamkiwa tena kwa akipendelea kutumia neno "Mume wangu habari za kazi"
So najiuliza hili kubalance shobo hizi sms zake anazojib usiku wakati sio kwamba yuko busy namimi niwe nazijibu mda gani?
Sihofii kumpoteza maana moyo wangu ushakua wa jiwe.
Note:Mtu asiombe namba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna binti mmoja nlianzisha nae mahusiano miezi miwili sasa japo bado sijamla
sababu ya muda wangu kunibana sana ila amekua akionesha upendo upendo flan mkubwa sana
Ila saivi kaanza kitabia unaweza mtxt asubuhi akajibu usiku,mfano sai nnavoandika hii post ndo sms yake inaingia tena kwa salamu ya "Niaje" wakati siku za kadhaa nyuma nlikua naamkiwa tena kwa akipendelea kutumia neno "Mume wangu habari za kazi"
So najiuliza hili kubalance shobo hizi sms zake anazojib usiku wakati sio kwamba yuko busy namimi niwe nazijibu mda gani?
Sihofii kumpoteza maana moyo wangu ushakua wa jiwe.
Note:Mtu asiombe namba
Sent using Jamii Forums mobile app
Lugha za kiume hizo