Challya
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 462
- 579
Hii imetokea kwa jirani zetu hapo Kenya tarehe 09/05/2020 jioni.
Mwanamke ambae anaitwa Vigilance Shighi(29) ambae ni kabila la Mtaita amemchoma kisu mara saba kifuani na kupelekea kufariki mpenzi wake ajulikanae kwa jina la Edward Okello(33) ambae ni mjaluo.
Edward Okello alikuwa ni engineer wa ndege katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta(JKIA).
Sababu kuu iliyopelekea Vigilance kumchoma visu mpenzi wake ni wivu wa kimapenzi alikuwa akimuhisi mpenzi wake kutoka na mwanamke mwingine, baada ya kumwambia marehemu hilo suala ndipo ulipoibuka ugomvi mkubwa, katika kubishana akachukua kisu kwa hasira akamchoka mpenzi wake.
Tayari Vigilance ameshakamatwa na police.
NB: Kama upo na mtu hata kama una mpenda vipi unapomfumania au unahisi sio muaminifu usimdhuru ni bora tu uachane nae, watu wapo wengi sana kwenye hii dunia sio yeye pekee yake.
Jifunze kupenda kwa kiasi, kwani kiwango chako cha kupenda ndio kiwango chako cha maumivu baadae.
Kama wewe ni mwanaume jifunze sana kutumia pesa zako kwa kiasi kwa mwanamke ili akikusaliti usiumie sana na mwanamke jifunze kupenda kwa kiasi itakusaidia baadae.
Mwanamke ambae anaitwa Vigilance Shighi(29) ambae ni kabila la Mtaita amemchoma kisu mara saba kifuani na kupelekea kufariki mpenzi wake ajulikanae kwa jina la Edward Okello(33) ambae ni mjaluo.
Edward Okello alikuwa ni engineer wa ndege katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta(JKIA).
Sababu kuu iliyopelekea Vigilance kumchoma visu mpenzi wake ni wivu wa kimapenzi alikuwa akimuhisi mpenzi wake kutoka na mwanamke mwingine, baada ya kumwambia marehemu hilo suala ndipo ulipoibuka ugomvi mkubwa, katika kubishana akachukua kisu kwa hasira akamchoka mpenzi wake.
Tayari Vigilance ameshakamatwa na police.
NB: Kama upo na mtu hata kama una mpenda vipi unapomfumania au unahisi sio muaminifu usimdhuru ni bora tu uachane nae, watu wapo wengi sana kwenye hii dunia sio yeye pekee yake.
Jifunze kupenda kwa kiasi, kwani kiwango chako cha kupenda ndio kiwango chako cha maumivu baadae.
Kama wewe ni mwanaume jifunze sana kutumia pesa zako kwa kiasi kwa mwanamke ili akikusaliti usiumie sana na mwanamke jifunze kupenda kwa kiasi itakusaidia baadae.