Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
- Thread starter
- #41
nguvu ya kujua mabaya,jamaa anajaribu kuelezea ni kiasi gani kujua mabaya kuna madhara.Ambwene----nguvu ya siri( nguvu ya kujua siri)
nguvu ya kujua mabaya,jamaa anajaribu kuelezea ni kiasi gani kujua mabaya kuna madhara.Ambwene----nguvu ya siri( nguvu ya kujua siri)
mkuu hapa unataka kusemaje
kinacholeta utata ni pale mtu anapotaka kulazimisha habari isiyohusiana na mada husika,hasa kwenye uzi wa kuaifia uwezo wa uimbaji wa mtu kuna mdau anaingizia habari za tabia za mtu vitu ambavyo hata havina mahisiaono.Watanzania wengi wanaamini zaidi wanacho kihisi na sio wanachofikria.....na akatokea mtu akawa aminisha anachofikiria hugeuka kuwa mpinzani wa hisia zao
kinacholeta utata ni pale mtu anapotaka kulazimisha habari isiyohusiana na mada husika,hasa kwenye uzi wa kuaifia uwezo wa uimbaji wa mtu kuna mdau anaingizia habari za tabia za mtu vitu ambavyo hata havina mahisiaono.
mada ingekuwa ni kusifia tabia za utakatifu za muhusika basi mtu anaweza kuleta hizo habari zake za tabia zingine mbaya.
lakini kama tunajadili uwezo wa kimuziki basi habari ya tabia zake haina uhusiano.
wangapi tunapenda nyimbo za wala unga na bangi wa marekani!?
elton john ni shoga lakini nyimbo zake ni hatari.
diamond platnumz ni balaa lakini tabia zake c za kuigwa.
ahsante,japo neno hili limepoteza maana siu hizi.Ingawa sijaelewa mantiki ya bandiko lako lakini nayaheshimu mawazo yako.....
Sure.. Jamaa anaimba saaaaanahuyu jamaa nyimbo zake yani ukisikiliza unahisi unaguswa moyo, nguvu ya msamaha, kuokoka, upendo wa kweli, yatima, ndoa dahh huyu jamaa ni among the best gospel singers Tanzania kuwahi kuwa nao.
Mimi kwangu ni namba moja ua sina tabia ya kukaa na cd ila nina cd mbili ya huyu jamaa na ya mzee upako kuna nyimbo zake tatu nazipenda pia
Wapi mkuu?Huyu ni Malaya sana nimemkamata mara mbili. Wanajificha kwenye dini. Acheni hizi promo za kijinga.
Ila ukiachana na nyimbo zake kua nzuri jamaa ana mke mzuri sana
unasikiliza!??...umesahau ww ni binti kiziwiMy play list nimeipa jina la "healer" 1.tulikotoka 2. Nguvu ya kujua 3. Ombi langu 4. Upendo wa kweli 5. Karibu yesu 6. Alikonitoa 7.Ndoa 8. Misuli ya imani.
Huwa nasikiliza inajirudia hadi napitiwa na usingizi.
Hahahunasikiliza!??...umesahau ww ni binti kiziwi