Ambulance ( gari la kubeba wagonjwa)

Ambulance ( gari la kubeba wagonjwa)

Pawaga

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
1,349
Reaction score
1,011
Sijui ni kweli hili

Neno AMBULANCE huandikwa kinyume mbele ya gari la wagonjwa ili dereva wa gari la mbele aweze kulisoma vizuri kupitia kioo cha gari lake. Swahili Times on Twitter
 
Sijui ni kweli hili

Neno AMBULANCE huandikwa kinyume mbele ya gari la wagonjwa ili dereva wa gari la mbele aweze kulisoma vizuri kupitia kioo cha gari lake. Swahili Times on Twitter
Kioo unachotumia kuangalia nyuma ukiendesha(rear view mirror) ni plane mirror. Images kwenye plane mirror ni laterally inverted yaani ukiangalia kioo unajiona lakini kulia kunakuwa kushoto na kushoto kunakuwa kulia. Sasa yale maneno kwenye ambulance yangeandikwa kiusahihi wewe unaeendesha gari ukiangalia nyuma kupitia kioo ungeyaona kinyumenyume hivyo usingeelewa. Sasa wameyageuza ili plane mirror image(laterally inverted) iyageuze kuwa sawa.
 
Kioo unachotumia kuangalia nyuma ukiendesha(rear view mirror) ni plane mirror. Images kwenye plane mirror ni laterally inverted yaani ukiangalia kioo unajiona lakini kulia kunakuwa kushoto na kushoto kunakuwa kulia. Sasa yale maneno kwenye ambulance yangeandikwa kiusahihi wewe unaeendesha gari ukiangalia nyuma kupitia kioo ungeyaona kinyumenyume hivyo usingeelewa. Sasa wameyageuza ili plane mirror image(laterally inverted) iyageuze kuwa sawa.
Physics form III[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Jf Ni Kweli Chimbo La Maarifa . Big Up [HASHTAG]#pawaga[/HASHTAG] , Thumb Up [HASHTAG]#RRONDO[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom