VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
kwani LOWASA sio kichwa
- hiyo ya utalii tuliibiwa tu hakuna kitu kilichofanyika sikuona impact ya yale matangazo kwa waingereza nilichokuwa nasikia ni malaria za CHERRY COLEY tu hizo hela za utalii ni kijiko cha sukari bahari.
watalii wanakuja bongo ni kwamba wafanyeje tu na wanaletwa na vitu ambavyo awawezi kuvipata mahali kwingine kutoka na wizi na miundo mbinu hapo alichofanya huyo mama na kundi laki ni kununua nepi nyingi za mtoto wakati wamimba mtoto akatoka amekufa
- Mkuu chonde chonde, huyu mama ameacha shirika lake la Sheria, la 50 Million Shillings per year kulijenga taifa na mshahara wetu mbuzi, please mkuu yale matangazo yametuinua sana taifa, I mean sio kila ishu iwe ligi tu kwenye hili taifa tunao wachapa kazi na huyu mama ni mmojawapo ,mimi sijaona wala kusikia makosa yake kwa taifa na ninaomba kunawa mikono na hii mada, maana sasa hivi mtaanza kumtukana mama wa watu bila sababu za msingi, I mean sometimes tuwe na shukrani wanapotokea viongozi wanaofaa, baadala ya kuwashambulia tuu! khaaaaa! Huyu mama amekosa nini hasa?
- Alipokwenda UK ameshambuliwa wee! lakini kwenye ukweli uongo hujitenga kule UK ameacha historia ya kuchapa kazi, huyu ni mchapa kazi sana na anafaa sana kwa taifa, sio goi goi!
Willie @ NYC, USA.
mkuu connect hii dot Rex Attorneys, na huyo mama .ina maana mkuu hujui huyo firm imefanya nini TANESCO
hafaru ni huyo mama aliyea andika barua kutoka huko USA ubalozi akitaka serikali ilipe hela za mambo binafsi ya mfanyakazi wa ubalozi wetu kwa kumnyanyasa mfanyakazi wake wa ndani
ubalozi wa uk alikotoka CAG kaweka bayana kuna zaidi ya milioni 500 zimetumika bila kufuata utaratibu
-- bado ujajibu swali langu kwani LOWASA sio kichwa?
watu wengi wanaoliibia ili taifa ni wale wanaojifanya watu wa watu kupata huruma, rejea sifa za matapeli
lugha nzuri ndio kinGa ya ufisadi MKUU si unaona MO biashara zake zinakwenda tu vizuri kwa kujifanya mtu wa watu
kama yeye alikuwa nalipwa Milioni 50 kwa mwaka kaziacha kwa nini? au ndio kupata access ya Diplomatic BAGS
kwa nini hakuakikisha TANESCO wanapata ushauri bora kama kweli yeye ni mzalendo.
hata huko BOT kuna mambo ya ovyo mangapi na washauri wenyewe ndio hawa
elimu yake kaitumia kama kisu kutumaliza wanyonge simple and clear
-- Na hii tabia ya kuwaita watu vichwa hali wanamaliza mali za umma ni kukosa uzalendo,
tafuta report za mahesabu ya balozi ndio utajua huyo mama ni nani ? hakuna majungu hapa ni kwamba hafai na uteuzi wa jk unajulika lazima uwe mchafu kwanza ili akupe kazi.
taja mtu msafi anayefanya kazi na jk kama sio mnafiki sitta na mwakyembe tu waliobaki ni kundi la waporaji