Ambassador from Tanzania: Who is Mwanaidi Maajar?

PSI Factor

Member
Apr 21, 2011
32
143
Monday, June 20, 2011

eouploader.ef9fcca8-7442-44de-a3db-6588911b4631.1.data.jpg


An attorney by profession, Mwanaidi Sinare Maajar was chosen to be Tanzania's ambassador to the United States in March 2010 and presented her credentials on September 7.

Born January 12, 1954, and raised in Moshi, Tanzania, Maajar earned a bachelor of laws degree in 1977 and a master of laws degree in 1982, both from the University of Dar-es-Salaam.

Maajar worked as senior legal advisor with the Central Bank of Tanzania (1978-1983) and then as business manager with Coopers & Lybrand (1983-1991), the predecessor firm of PricewaterhouseCoopers, in Tanzania.

In 1991, she helped found the law firm MRN&M (Maajar, Rwechungura, Nguluma & Makani) Advocates, and was the lead partner of the firm's mining, natural resources and corporate law portfolio. She also has practiced as an advocate of the high court of Tanzania specializing in corporate and mining law litigation.

Maajar was a partner at Rex Attorneys, a leading law firm in Tanzania established in early 2006 following the merger of MRN&M and Epitome Advocates, another leading law firm in the country.

Before being selected to serve as ambassador to Washington, she was Tanzania's high commissioner to the United Kingdom from April 2006 to July 2010. The post of high commissioner between two Commonwealth countries is the equivalent of the position of ambassador.

Maajar was a founding member in 1990 of the Tanzania Women Lawyers Association, a non-governmental organization established to help women and children access the justice system and to advocate for women's rights, and served as its chair from 2001-2003. She helped establish the East Africa Law Society (EALS) in 1995, and she was chair of the Social Action Trust Fund (SATF), a joint venture of the governments of the United States and Tanzania, the profits from which were used to help organizations dealing with HIV/AIDS orphans.

She also has been a member of the board of several public enterprises, government entities and private companies, including the non-profit Muslim Development Fund (MDF); the non-profit Women and Development Company Limited (WAMA); the African Banking Corporation, DAWASA, the company responsible for building infrastructure for clean water and sewerage in Dar es Salaam; and Tanga Cement Limited.

Maajar speaks Kiswahili, English and French. She is married to Shariff Hassan Maajar.

Source: http://www.allgov.com/Appointments_..._from_Tanzania__Who_is_Mwanaidi_Maajar_110620
 
Mbona hujazungumzia jinsi ambavyo ameshiriki kuiingiza mkenge TANESCO dhidi ya DOWANS?
Huyu ni fisadi mwingine mkubwa ambaye hastahili hata kuwa balozi wa nyumba kumi kumi.
 
Impressive resume.
I had an opportunity to meet her in person at a party last fall. I like her simplicity and humble personality. She is very polite, eager to listen and paying attention when taliking to her, always smiling and can talk to anyone, unlike most of her predecessors who were not approachable at all. On numerous occasions I called the embassy for business maters and believe me or not the staff there are kinda rude on the phone, may be forgetting the fact that they are no longer in bongo and they need to respond to callers with courtesy and good telephone manners pertaining to the American standards. Mko US sasa na majibu yenu ya kujibu watu ovyo myaache hukohuko bongo. I hope the embassy staff would learn a lot from her. Okidoki!!
 
watumishi wa ubalozi wa tanzania washington ni mzigo na very annoyed, siku nilipiga simu ikaita karibu 20 minutes bila
kupokelewa na hii ilikuwa saa 11:00 am asubuhi mpka unajiuliza ni ofisi gani hapa USA unaweza kupiga simu mara karibu
kadhaa kwa siku bila kupokelewa na halafu ikapokelewa na mpokeaji alikuwa so rude. mpaka unajiuliza kama utaki kufanya
kazi hapa nenda katafute kazi sehemu nyingine umekubali kukaa hapa hudumia watu hutaki go find another job.
 
watumishi wa ubalozi wa tanzania washington ni mzigo na very annoyed, siku nilipiga simu ikaita karibu 20 minutes bila
kupokelewa na hii ilikuwa saa 11:00 am asubuhi mpka unajiuliza ni ofisi gani hapa USA unaweza kupiga simu mara karibu
kadhaa kwa siku bila kupokelewa na halafu ikapokelewa na mpokeaji alikuwa so rude. mpaka unajiuliza kama utaki kufanya
kazi hapa nenda katafute kazi sehemu nyingine umekubali kukaa hapa hudumia watu hutaki go find another job.
Sasa na nyie mnafikira duni, kwa nini msilipoti hili suala kwa balozi mwenyewe au kwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, kwa nini mnawalealea?? hao si waajiliwa wa TZ wanaolipwa na kodi za watanzania??? Nilitegemea uandike kuonesha hatua ulizochukua, kwani kulalamika bila kuchukua hautua ni utoto, na unawafanya hao jamaa wasijifunze.
 
Hii CV ya huyu mama kuwa thread ni ya nini hapa? au Huyu mama anatafuta kazi, mbona hujaongelea anavyohasisi miradi ya madini ya mama kikwete na jinsi alivyochangia miliioni 800 kwenye uchaguzi wa kikwete ili apate ubarozi!
 
Tusiwe wavivu wa kufanya uchambuzi!! Hivi, all all the people waliopo Foreign Affairs, waliosomea International Relations & Diplomacy...wenye Ph.D na uzoefu wa miaka mingi JK alimuona Mama Majaar peke yake??.....kuna kingine zaidi ya hiyo CV (angempa kazi Ministry of Justice basi)...huyu alipelekwa nje...kurahisisha baadhi ya mambo! Fumbueni macho na masikio...nuseni!!!
 
Hii CV ya huyu mama kuwa thread ni ya nini hapa? au Huyu mama anatafuta kazi, mbona hujaongelea anavyohasisi miradi ya madini ya mama kikwete na jinsi alivyochangia miliioni 800 kwenye uchaguzi wa kikwete ili apate ubarozi!
Arafa, kila nikisoma posts zako humu Jf, 99% ni Kitchen Party
 
Monday, June 20, 2011

eouploader.ef9fcca8-7442-44de-a3db-6588911b4631.1.data.jpg



In 1991, she helped found the law firm MRN&M (Maajar, Rwechungura, Nguluma & Makani) Advocates, and was the lead partner of the firm's mining, natural resources and corporate law portfolio. She also has practiced as an advocate of the high court of Tanzania specializing in corporate and mining law litigation.

Maajar was a partner atRex Attorneys, a leading law firm in Tanzania established in early 2006 following the merger of MRN&M and Epitome Advocates, another leading law firm in the country.

AllGov - News - Ambassador from Tanzania: Who is Mwanaidi Maajar?

hiyo REX
sasa nimeelewa sababu za kupeana ubalozi
hawa watu MA-bag yao hayakakuguliwi na huyu mama kutokana na tabia za REX kutokuwa na uzalendo kuna kitu hapo kinaendelea
 
Monday, June 20, 2011

eouploader.ef9fcca8-7442-44de-a3db-6588911b4631.1.data.jpg


An attorney by profession, Mwanaidi Sinare Maajar was chosen to be Tanzania's ambassador to the United States in March 2010 and presented her credentials on September 7.

Born January 12, 1954, and raised in Moshi, Tanzania, Maajar earned a bachelor of laws degree in 1977 and a master of laws degree in 1982, both from the University of Dar-es-Salaam.

Maajar worked as senior legal advisor with the Central Bank of Tanzania (1978-1983) and then as business manager with Coopers & Lybrand (1983-1991), the predecessor firm of PricewaterhouseCoopers, in Tanzania.

In 1991, she helped found the law firm MRN&M (Maajar, Rwechungura, Nguluma & Makani) Advocates, and was the lead partner of the firm's mining, natural resources and corporate law portfolio. She also has practiced as an advocate of the high court of Tanzania specializing in corporate and mining law litigation.

Maajar was a partner at Rex Attorneys, a leading law firm in Tanzania established in early 2006 following the merger of MRN&M and Epitome Advocates, another leading law firm in the country.

Before being selected to serve as ambassador to Washington, she was Tanzania's high commissioner to the United Kingdom from April 2006 to July 2010. The post of high commissioner between two Commonwealth countries is the equivalent of the position of ambassador.

Maajar was a founding member in 1990 of the Tanzania Women Lawyers Association, a non-governmental organization established to help women and children access the justice system and to advocate for women's rights, and served as its chair from 2001-2003. She helped establish the East Africa Law Society (EALS) in 1995, and she was chair of the Social Action Trust Fund (SATF), a joint venture of the governments of the United States and Tanzania, the profits from which were used to help organizations dealing with HIV/AIDS orphans.

She also has been a member of the board of several public enterprises, government entities and private companies, including the non-profit Muslim Development Fund (MDF); the non-profit Women and Development Company Limited (WAMA); the African Banking Corporation, DAWASA, the company responsible for building infrastructure for clean water and sewerage in Dar es Salaam; and Tanga Cement Limited.

Maajar speaks Kiswahili, English and French. She is married to Shariff Hassan Maajar.

Source: AllGov - News - Ambassador from Tanzania: Who is Mwanaidi Maajar?

Hii hadithi yote inatusaidia nini.Does it help us feed our children?Surely no.To me it's rubbish.
 
Naona tangu amekuja USA haonekani kabisa kwenye Michuzi blog, maana alivyokuwa UK ilikuwa kama Mr. Nice mara leo yupo B'gham kwenye Kitchen Party, mara leo yupo kwenye ubatizo. Lakini alipokuja USA things are different kabisa, amejikita naona kuongea na Investor na kuona how atakuwa more effective kutafuta partners na Law firm za NY.

Mpaka leo hii yeye ni active partner wa Rex Attorney, tumeuliza zaidi ya mara moja jee hiyo sio conflict of interest? Majibu ya CCM ni abrakadabra...
 
Hayo ya Rex Attorneys mimi siyajui na hata kama anahusika nani wa kumlaumu? yeye ama aliyemteua? Nimepata kukutana naye kwenye gala moja kule Los Angeles. Ni mtu poa sana na namkubali.
 
Hayo ya Rex Attorneys mimi siyajui na hata kama anahusika nani wa kumlaumu? yeye ama aliyemteua? Nimepata kukutana naye kwenye gala moja kule Los Angeles. Ni mtu poa sana na namkubali.

HATA KIKWETE ILIKUWA HIVYO ni mtu poa na bado ni mu poa anacheka cheka tu hata muda wa kuwa serious
huyo mama kama ni founder wa REX lazima katumaliza tu
 
HATA KIKWETE ILIKUWA HIVYO ni mtu poa na bado ni mu poa anacheka cheka tu hata muda wa kuwa serious
huyo mama kama ni founder wa REX lazima katumaliza tu
sasa mkuu kama una concrete evidence ya huyu dada na ufisadi si uanike hapa jamvini
 
sasa mkuu kama una concrete evidence ya huyu dada na ufisadi si uanike hapa jamvini

mkuu connect hii dot Rex Attorneys, na huyo mama .ina maana mkuu hujui huyo firm imefanya nini TANESCO
hafaru ni huyo mama aliyea andika barua kutoka huko USA ubalozi akitaka serikali ilipe hela za mambo binafsi ya mfanyakazi wa ubalozi wetu kwa kumnyanyasa mfanyakazi wake wa ndani

ubalozi wa uk alikotoka CAG kaweka bayana kuna zaidi ya milioni 500 zimetumika bila kufuata utaratibu
 
- Wa-Tanzania wakati mwingine tuache majungu majungu, huyu mama ni kichwa na anafaaa sana binafsi ninamkubali, akiwa UK amelitangaza sana taifa letu kwenye utalii, amewaunganisha sana wananchi wetu kule, sijawahi kusikia Chadema wamefungua tawi kule akakataa kwenda, toka amefika DC tayari tunausikia tena ubalozi wetu kule, I mean mnyonge mnyongeni!

- However: sina uhakika alifikaje kwenye ubalozi, lakini in her case the end justifies the means!, Wa-Tanzania tuache majungu majungu huyu mama ni kichwa sana na taifa tunahitaji viongozi kama huyu! Creative na Active!


William @ NYC, USA.
 
- Wa-Tanzania wakati mwingine tuache majungu majungu, huyu mama ni kichwa na anafaaa sana binafsi ninamkubali, akiwa UK amelitangaza sana taifa letu kwenye utalii, amewaunganisha sana wananchi wetu kule, sijawahi kusikia Chadema wamefungua tawi kule akakataa kwenda, toka amefika DC tayari tunausikia tena ubalozi wetu kule, I mean mnyonge mnyongeni!

- However: sina uhakika alifikaje kwenye ubalozi, lakini in her case the end justifies the means!, Wa-Tanzania tuache majungu majungu huyu mama ni kichwa sana na taifa tunahitaji viongozi kama huyu! Creative na Active!


William @ NYC, USA.


kwani LOWASA sio kichwa
- hiyo ya utalii tuliibiwa tu hakuna kitu kilichofanyika sikuona impact ya yale matangazo kwa waingereza nilichokuwa nasikia ni malaria za CHERRY COLEY tu hizo hela za utalii ni kijiko cha sukari bahari.
watalii wanakuja bongo ni kwamba wafanyeje tu na wanaletwa na vitu ambavyo awawezi kuvipata mahali kwingine kutoka na wizi na miundo mbinu hapo alichofanya huyo mama na kundi laki ni kununua nepi nyingi za mtoto wakati wamimba mtoto akatoka amekufa
 
kwani LOWASA sio kichwa
- hiyo ya utalii tuliibiwa tu hakuna kitu kilichofanyika sikuona impact ya yale matangazo kwa waingereza nilichokuwa nasikia ni malaria za CHERRY COLEY tu hizo hela za utalii ni kijiko cha sukari bahari.
watalii wanakuja bongo ni kwamba wafanyeje tu na wanaletwa na vitu ambavyo awawezi kuvipata mahali kwingine kutoka na wizi na miundo mbinu hapo alichofanya huyo mama na kundi laki ni kununua nepi nyingi za mtoto wakati wamimba mtoto akatoka amekufa

- Mkuu chonde chonde, huyu mama ameacha shirika lake la Sheria, la 50 Million Shillings per year kulijenga taifa na mshahara wetu mbuzi, please mkuu yale matangazo yametuinua sana taifa, I mean sio kila ishu iwe ligi tu kwenye hili taifa tunao wachapa kazi na huyu mama ni mmojawapo ,mimi sijaona wala kusikia makosa yake kwa taifa na ninaomba kunawa mikono na hii mada, maana sasa hivi mtaanza kumtukana mama wa watu bila sababu za msingi, I mean sometimes tuwe na shukrani wanapotokea viongozi wanaofaa, baadala ya kuwashambulia tuu! khaaaaa! Huyu mama amekosa nini hasa?

- Alipokwenda UK ameshambuliwa wee! lakini kwenye ukweli uongo hujitenga kule UK ameacha historia ya kuchapa kazi, huyu ni mchapa kazi sana na anafaa sana kwa taifa, sio goi goi!


Willie @ NYC, USA.
 
Back
Top Bottom