Ambassador from Tanzania: Who is Mwanaidi Maajar?

- Wa-Tanzania wakati mwingine tuache majungu majungu, huyu mama ni kichwa na anafaaa sana binafsi ninamkubali, akiwa UK amelitangaza sana taifa letu kwenye utalii, amewaunganisha sana wananchi wetu kule, sijawahi kusikia Chadema wamefungua tawi kule akakataa kwenda, toka amefika DC tayari tunausikia tena ubalozi wetu kule, I mean mnyonge mnyongeni!

- However: sina uhakika alifikaje kwenye ubalozi, lakini in her case the end justifies the means!, Wa-Tanzania tuache majungu majungu huyu mama ni kichwa sana na taifa tunahitaji viongozi kama huyu! Creative na Active!


William @ NYC, USA.

Kichwa ndo nini? Kagundua nini? Kaandika nini cha kusifiwa dunia hii ya Tanzania?
Una haki ya kutoa maoni yako lakini nadhani unakwenda mbali. Unashabikia bila analyses.

Hata John Samweli Malecela Tulidhani ni kichwa kama wana Dodoma wengi walivyodhani. Akaishia kuwatelekeza wakifa kwa njaa na kuwaambia,
"GO TO HELL"

Kichwa kikapotea!
 
Very creative, humble and hard working. Above all, educated, commited to National interest than cheap political popularity...mama fanya kazi achana na watu wenye mawazo ya kisemenari

Katika CCM nani hana sifa hizo? Tangu pinda mpaka Lowasa na Rostam wote ni waungwana na .......

Purely circumlocution language. Just point out the intended good for citation.
 
- Wa-Tanzania wakati mwingine tuache majungu majungu, huyu mama ni kichwa na anafaaa sana binafsi ninamkubali, akiwa UK amelitangaza sana taifa letu kwenye utalii, amewaunganisha sana wananchi wetu kule, sijawahi kusikia Chadema wamefungua tawi kule akakataa kwenda, toka amefika DC tayari tunausikia tena ubalozi wetu kule, I mean mnyonge mnyongeni!

- However: sina uhakika alifikaje kwenye ubalozi, lakini in her case the end justifies the means!, Wa-Tanzania tuache majungu majungu huyu mama ni kichwa sana na taifa tunahitaji viongozi kama huyu! Creative na Active!


William @ NYC, USA.

Hivi kwa nini wezi wakiambiwa ukweli wanang'aka kama pakashume? With all due respect mama ni mwizi yaani Fisadi papa yeye pamoja na Jakaya Kikwete. Amewekwa pale kuhakikisha mpunga wote unaoingia pale USA unapata njia za kwenda kwenye ufisadi wao na ndio kazi aliyokuwa anaifanya alipokuwa UK.

Ushahidi wa hilo angalia matumizi ambayo hayakuidhinishwa na bunge alipokuwa UK yalikuwa kiasi gani? Jamani tuache kuwatukuza wezi! Lakini ipo siku watakuja kulipa tu. Malecela hakuna Majungu JF ni ukweli tu, ukileta majungu baada ya siku yatajulikana na aibu utakuwa nayo wewe uliyeleta majungu. U-creative wake na u-active ni katika kuliibia taifa.
 
- Mkuu chonde chonde, huyu mama ameacha shirika lake la Sheria, la 50 Million Shillings per year kulijenga taifa na mshahara wetu mbuzi, please mkuu yale matangazo yametuinua sana taifa, I mean sio kila ishu iwe ligi tu kwenye hili taifa tunao wachapa kazi na huyu mama ni mmojawapo ,mimi sijaona wala kusikia makosa yake kwa taifa na ninaomba kunawa mikono na hii mada, maana sasa hivi mtaanza kumtukana mama wa watu bila sababu za msingi, I mean sometimes tuwe na shukrani wanapotokea viongozi wanaofaa, baadala ya kuwashambulia tuu! khaaaaa! Huyu mama amekosa nini hasa?

- Alipokwenda UK ameshambuliwa wee! lakini kwenye ukweli uongo hujitenga kule UK ameacha historia ya kuchapa kazi, huyu ni mchapa kazi sana na anafaa sana kwa taifa, sio goi goi!


Willie @ NYC, USA.

William, I have evidence huyu mama ametumia pesa nyingi saana (zake personally) kumuweka JK ikulu. Well ni lazima azirudishe somehow. Frankly speaking yeye ni member wa mtandao (waliomuweka Kikwete) so sioni tofauti yake na Lowassa au Rostam. Ingawa unaona ubalozi sio pesa nyingi, in reality kwake ni nyingi kwasababu anapata deals nyingine nyuma ya pazia. Let us be honesty on this.
 
William, I have evidence huyu mama ametumia pesa nyingi saana (zake personally) kumuweka JK ikulu. Well ni lazima azirudishe somehow. Frankly speaking yeye ni member wa mtandao (waliomuweka Kikwete) so sioni tofauti yake na Lowassa au Rostam. Ingawa unaona ubalozi sio pesa nyingi, in reality kwake ni nyingi kwasababu anapata deals nyingine nyuma ya pazia. Let us be honesty on this.
kama una evidence mkuu basi si uimwage hapa jamvini kuliko kumsakama mama wa watu na majungu
 
- Mnamuonea tu kwanza huyu mama aliomba kuacha ubalozi baada ya UK, alitaka kurudi nyumbani ni taifa ndio tumemuomba aendelee, mkuu samahani sana mimi huwa siendi na upepo wa bendera au kufikirishwa kwa mafungu, ninasema hivi hebu onyesheni makosa yake akiwa ubalozini UK amelikosea nini taifa? na hapo alipo sasa amelikosea nini taifa? hapa hatuna muda wa majungu majungu ni mwiko hapa!

Willie @ NYC, USA.


Labda nikupe dondoo kidogo ukitaka utazifanyia kazi. Ni kwanini wakati viongozi wa juu (akiwemo Lowassa) account zao zinachunguzwa Uingereza ni wakati huo huo Majaar akaonekana anafaa kwenda DC. Baada ya yeye kuhamishiwa DC, Tanzania ikalinunua lile jengo la ubalozi eti ni kitega uchumi; at the sametime viongozi wa juu walihamisha pesa zao Uingereza wakahamishia/invest US. (Taarifa zisizo rasmi ambazo bado zinachunguzwa ni kuwa hizi pesa zimewekwa kuonekana ni source ya mapato ya hicho kitega uchumi lakini in real sense ni za watu binafsi). Well, hapo kwenye mabano siwezi kudhibitisha lakini ninachojua Majaar ni mtu muhimu sana katika uangalizi wa account hizi za mafisadi hasa katika kuhakikisha mambo flani yakisheria yanakua sawa bila kushtukiwa.
 
Huyu mama pamoja na usomi wake lakini hoja anazijibu kimagamba tu... nishawahi kumuuliza swali la kwanini anadhani ni wazo zuri la makampuni ya kitanzania kuja kurecruit watanzania marekani wakati Tanzania kuna watu kibao tu wenye uwezo, badala ya kunijibu yeye anapandisha mori baadaya kumbana na maswali mawili matatu nikaamua kuachana nae. Ukimchallenge anachukulia personal kumbe ni hoja tu..
 
we bwana huna hoja nimekufuatilia sana...kama ana faida kwako tu usitulazimishe kumpa sifa wakati hastahili.
 
nimekueleza vizuri sana msingi wa hoja yangu ndg willie@NYC , USA
tazito wewe unapenda kutete magamba bila huruma kwa taifa

ni nini husichojua kuhusu
REX ATTORNEY na mikataba yaRICHDOND/DOWANS tena mbaya zaidi walikuwa wanashauri kote kote TANESCO na upande wa mafisadi, walipata wapi hiyo nguvu? kama kilanja mkuu sio muhusika wadili nzima maana hii kitu ya dowans ina muhusu sana tu, huyo mama alikuwa kwenye payroll ya mafisadi muda mrefu

kuhusu tuhuma za ufisadi katika balozi ya LONDON nilikueleza check report ya CAG lakini naona wewe umekalia ubishi na kusema watu wana majungu sasa report ya CAG hiyo hapo kabishane naye

CAG REPORT: 14 Tanzania Embassies Abused Public Fund ( TOTAL OF 3.7 BN)


A TOTAL of 3.7bn/- from 14 Tanzania Embassies is reported to be unaccounted for in expenditure anomalies revealed by the Controller and Auditor General's (CAG) report. The Embassies are; Brussels, Rome, Beijing, Tokyo, London, Abu Dhabi, Moscow, Stockholm,
Nairobi, Kampala, Addis Ababa, Kigali and Lilongwe. According to CAG annual general report for the year ended June 30, 2010, there were unclear instructions on the reporting of funds remitted by the government at the end of the year in the financial statements.
The management of the Tanzania Embassy in Abu Dhabi, Saudi Arabia, did not provide evidence from the Permanent Secretary in the Ministry of excess expenditure amounting to 865.6m/-. Also the management lacked controls to ensure clearance of outstanding matters of previous years audit amounting to 72.2m/-.


A total of 832.8m/-was spent by the Tanzania High Commission in London above the approved budget without seeking authority from the Permanent Secretary in the Ministry of
Foreign Affairs and International Cooperation, stated the report. The government suffered a loss of 88.3m due to delays in settling the outstanding matters


by the Tanzania Embassy in Moscow, Russia, amounting to 451.4m/-. The Embassy incurred expenditure of 533.2m/-above the approved budget. A whopping 434m/- monthly deductions for pension contributions from local-based staff in the Tanzania Embassy in Rome, Italy, was not remitted to the respective schemes.


It is mentioned that the Tanzania Embassy in Brussels (Belgium) did not prepare monthly bank reconciliation statements for revenue, recurrent and deposit accounts for the whole financial year. Records obtained from the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation in Dar es Salaam show a difference of 300m/-. This is deducted from a payment of 1.32bn/- that was disbursed to the Embassy in Brussels


against 1.02bn/- reflected in the embassy's financial statements. Also the cash book for recurrent account was poorly recorded since most of the transactions were either omitted or wrongly recorded without being totalled and balanced properly contrary to Reg.126 (3) of the Public Finance Regulations 2001 (revised 2004). Under the circumstance, the correctness of income, expenditure and cash balance figures reported in the financial statements could not be established.


The Tanzania Embassy in Beijing, China, according to the report, spent a total of 1.3bn/- against the approved budget of 1.1bn/- resulting in an over expenditure of 209.6m/-. The Embassy in Tokyo, Japan, the management should seek retrospective approval from the appropriate authority in respect of over expenditure of 282.7m/-. The


Tanzania Embassy in Stockholm, Sweden, incurred unapproved expenditure of 117.8m/- which is non adherence to the Appropriation Act. Also a sum of 151.8m/- was paid by the Embassy for breach of house contract. At June 30, 2009, the embassy reported liabilities
amounting to 369.7m/-. However, at the time of writing this report only arrears amounting to 129.1m/- was settled.


The Tanzania embassy in Kinshasa ended with an over expenditure of 177.1m/-without neither a supplementary estimates nor approval from the Permanent Secretary, Ministry of Finance. The High Commission in Nairobi, Kenya, recorded over expenditure of 17.7m/- between the Exchequer Issues received of 1.17bn/- and net expenditure of 1.19bn/-. The Embassy spent the amount without reallocation warrant and approval from the Paymaster General. During the period under review the Tanzania Embassy in Addis Ababa, Ethiopia, spent 53,533.58 US


Dollar and 38,640 Ethiopian Birr (ETB) to incur expenditures which were not stated in the approved annual budget. Tanzania High Commission in Kampala, Uganda, had deposit accounts balance of 36m/- for which details of transaction and the balance outstanding for individual account for each depositor could not be established.


Also during the period under review the Tanzania High Commission in Kampala spent 77.4m/-to incur expenditures which were not stated in the approved annual budget. The Tanzania Embassy in Kigali, Rwanda, received funds amounting to 78.2m/- without approval of the National Assembly.
There are unclear instructions on the reporting of funds remitted to the Tanzania High Commission, Lilongwe, Malawi, at the end of the year in the Financial Statements which resulted into non reporting of 14m/-. There were unclear instructions on the accounting of funds remitted at the end of the year in the Tanzania High Commission in Harare, Zimbabwe, for the Financial Statements which resulted into non reporting of 7.3m/-.





hiyo REX
sasa nimeelewa sababu za kupeana ubalozi
hawa watu MA-bag yao hayakakuguliwi na huyu mama kutokana na tabia za REX kutokuwa na uzalendo kuna kitu hapo kinaendelea

Hayo ya Rex Attorneys mimi siyajui na hata kama anahusika nani wa kumlaumu? yeye ama aliyemteua? Nimepata kukutana naye kwenye gala moja kule Los Angeles. Ni mtu poa sana na namkubali.

HATA KIKWETE ILIKUWA HIVYO ni mtu poa na bado ni mu poa anacheka cheka tu hata muda wa kuwa serious
huyo mama kama ni founder wa REX lazima katumaliza tu

hii sio hadhithi fuatilia Rex Attorneys, na mikataba ya TANESCO ndio utaelewa kwa nini hii iko hapa

mkuu connect hii dot Rex Attorneys, na huyo mama .ina maana mkuu hujui huyo firm imefanya nini TANESCO
hafaru ni huyo mama aliyea andika barua kutoka huko USA ubalozi akitaka serikali ilipe hela za mambo binafsi ya mfanyakazi wa ubalozi wetu kwa kumnyanyasa mfanyakazi wake wa ndani

ubalozi wa uk alikotoka CAG kaweka bayana kuna zaidi ya milioni 500 zimetumika bila kufuata utaratibu


hawa mabalozi ni shamba la kiranja mkuu jk na mabegi yao yanabema mengi kutoka na kuingi Tanzania
mama huko katika wajibu wake wa kumsaidi mkweree kutimiza azima zao kuishi duniani kama peponi kwa kutumia pesa ya wakulima

- Wa-Tanzania wakati mwingine tuache majungu majungu, huyu mama ni kichwa na anafaaa sana binafsi ninamkubali, akiwa UK amelitangaza sana taifa letu kwenye utalii, amewaunganisha sana wananchi wetu kule, sijawahi kusikia Chadema wamefungua tawi kule akakataa kwenda, toka amefika DC tayari tunausikia tena ubalozi wetu kule, I mean mnyonge mnyongeni!

- However: sina uhakika alifikaje kwenye ubalozi, lakini in her case the end justifies the means!, Wa-Tanzania tuache majungu majungu huyu mama ni kichwa sana na taifa tunahitaji viongozi kama huyu! Creative na Active!


William @ NYC, USA.

kwani LOWASA sio kichwa
- hiyo ya utalii tuliibiwa tu hakuna kitu kilichofanyika sikuona impact ya yale matangazo kwa waingereza nilichokuwa nasikia ni malaria za CHERRY COLEY tu hizo hela za utalii ni kijiko cha sukari bahari.
watalii wanakuja bongo ni kwamba wafanyeje tu na wanaletwa na vitu ambavyo awawezi kuvipata mahali kwingine kutoka na wizi na miundo mbinu hapo alichofanya huyo mama na kundi laki ni kununua nepi nyingi za mtoto wakati wamimba mtoto akatoka amekufa

- Mkuu chonde chonde, huyu mama ameacha shirika lake la Sheria, la 50 Million Shillings per year kulijenga taifa na mshahara wetu mbuzi, please mkuu yale matangazo yametuinua sana taifa, I mean sio kila ishu iwe ligi tu kwenye hili taifa tunao wachapa kazi na huyu mama ni mmojawapo ,mimi sijaona wala kusikia makosa yake kwa taifa na ninaomba kunawa mikono na hii mada, maana sasa hivi mtaanza kumtukana mama wa watu bila sababu za msingi, I mean sometimes tuwe na shukrani wanapotokea viongozi wanaofaa, baadala ya kuwashambulia tuu! khaaaaa! Huyu mama amekosa nini hasa?

- Alipokwenda UK ameshambuliwa wee! lakini kwenye ukweli uongo hujitenga kule UK ameacha historia ya kuchapa kazi, huyu ni mchapa kazi sana na anafaa sana kwa taifa, sio goi goi!


Willie @ NYC, USA.

pal, hamna haja ya shukrani kama hajatufanyia chochote... but Mwanaidi is wayyyy better than most of our balozis... on tanesco, yes she fooked us just like Marando alwayd does

- Unajua ndio mambo ya territory kila ninalosema lazima lina agenda, lakini hainizuii kuchangia Taifa langu ninasema hivi sijaona wala kusikia makosa ya huyu mama kama ni Tanesco, hil;o shirika limeoza toka hata huyu mama hajaingia ubalizoni, kama ana makosa abasi yawekeni hapa tuyachambue! badala ya overhill road!

Willie @ NYC, USA.

- Mnamuonea tu kwanza huyu mama aliomba kuacha ubalozi baada ya UK, alitaka kurudi nyumbani ni taifa ndio tumemuomba aendelee, mkuu samahani sana mimi huwa siendi na upepo wa bendera au kufikirishwa kwa mafungu, ninasema hivi hebu onyesheni makosa yake akiwa ubalozini UK amelikosea nini taifa? na hapo alipo sasa amelikosea nini taifa? hapa hatuna muda wa majungu majungu ni mwiko hapa!

Willie @ NYC, USA.
 
Willie hapa utaumbuka tu ni bora ukae kimya,acha kutetea hawa mafisadi kama ubaloz tu wamefuja pesa zote hizo then wewe unatoa mfano mfu eti kaacha kampuni yake ya mil 50 per year! Hv 50 mil kwa mwaka na marupu rupu ya balozi wapi na wapi? Acha kutetea mafisadi kumbuka kuna cku nawe utapata malipo ya haki
kutoka kwa wa tz kutokana na utetezi wako kwa mafisadi wanaotafuna nchi.
 
Labda nikupe dondoo kidogo ukitaka utazifanyia kazi. Ni kwanini wakati viongozi wa juu (akiwemo Lowassa) account zao zinachunguzwa Uingereza ni wakati huo huo Majaar akaonekana anafaa kwenda DC. Baada ya yeye kuhamishiwa DC, Tanzania ikalinunua lile jengo la ubalozi eti ni kitega uchumi; at the sametime viongozi wa juu walihamisha pesa zao Uingereza wakahamishia/invest US. (Taarifa zisizo rasmi ambazo bado zinachunguzwa ni kuwa hizi pesa zimewekwa kuonekana ni source ya mapato ya hicho kitega uchumi lakini in real sense ni za watu binafsi). Well, hapo kwenye mabano siwezi kudhibitisha lakini ninachojua Majaar ni mtu muhimu sana katika uangalizi wa account hizi za mafisadi hasa katika kuhakikisha mambo flani yakisheria yanakua sawa bila kushtukiwa.

huyu mama yakwake ni 40 na sio muda mrefu hata chenge walisema hivi sasa wanataka change ya RADA
 
hahahahahaha mkuu husiumie sana jk akiteua mtu jua ni mwizi wa mali za umma

Hiyo hela hapo juu ktk report ya CAG ni ndogo sana, siyo news worthy, na wala it doesn't tie her directly to the allegation. Ingekuwa ni billions of TZSH kama zile za EPA, yes.
Ain't gonna lose my sleep over that small chunk of $$
 
Hivi kwa nini wezi wakiambiwa ukweli wanang'aka kama pakashume? With all due respect mama ni mwizi yaani Fisadi papa yeye pamoja na Jakaya Kikwete. Amewekwa pale kuhakikisha mpunga wote unaoingia pale USA unapata njia za kwenda kwenye ufisadi wao na ndio kazi aliyokuwa anaifanya alipokuwa UK.

Ushahidi wa hilo angalia matumizi ambayo hayakuidhinishwa na bunge alipokuwa UK yalikuwa kiasi gani? Jamani tuache kuwatukuza wezi! Lakini ipo siku watakuja kulipa tu.
Malecela hakuna Majungu JF ni ukweli tu, ukileta majungu baada ya siku yatajulikana na aibu utakuwa nayo wewe uliyeleta majungu. U-creative wake na u-active ni katika kuliibia taifa.

mwambie dogo huyo anadhani kila mtu ana majungu,
kila siku watu wanamtukana hapa anasema jadili hoja sio mashambulizi zidi ya mtu nashangaa yeye leo
anaweka ukweli pembeni na kuanzisha mashambulizi bila huruma.

pole WILLIE
kama ulianza kwenda kunywa chai kwa mama ukweli ndio huo
 
Hiyo hela hapo juu ktk report ya CAG ni ndogo sana, siyo news worthy, na wala it doesn't tie her directly to the allegation. Ingekuwa ni billions of TZSH kama zile za EPA, yes.
Ain't gonna lose my sleep over that small chunk of $$

now you talking fisadi keep you words. 832.8m/ ni hela ndogo kwa kazi ya halali bila kulapua mtu wala serikali
isitoshe hiyo ni part ya 3.2bilion za walipa kodi
anyway umejitangaza vizuri lakini ni hakika account yako haina kitu cha milioni hizo hiyo sio hela ndogo kama mtaji kwa kuchota shirikisha kichwa kidogo hapo
 
Nobody's fooled by her phony demeanor. This woman is one greedy, selfish, corrupt, thief like the whole lot of them. These so-called "Ambassadors" have really only one single-minded "mission": to steal as much public funds as they can during their tenures abroad: nothing more, nothing less. The other time I saw her on TV, she looked very awkward and nervous and was talking gibberish. She's a fake!
 
now you talking fisadi keep you words. 832.8m/ ni hela ndogo kwa kazi ya halali bila kulapua mtu wala serikali
isitoshe hiyo ni part ya 3.2bilion za walipa kodi
anyway umejitangaza vizuri lakini ni hakika account yako haina kitu cha milioni hizo hiyo sio hela ndogo kama mtaji kwa kuchota shirikisha kichwa kidogo hapo

Sawa kila mtu anaiba lakini hiyo siyo hela ya kupiga mayowe, mkuu.
Beside, CAG hajasema wamekwiba hizo hela ktk hizo balozi, bali hazijawa accounted...........
 
Kaka Willie,
Pole na kazi heshima mbele.

Unahaki ya kutoa mawazo yako na misimamo yako, hilo halina shida.
Tunajua Ubalozi ni kazi ya kutajwa jina na mkuu wa nchi, hilo halina ubishi, uwe na sifa au la ukitajwa jina unakwenda. Sina wasiwasi na creditial za mama Maajar, balozi wetu nchini USA. Ila nina wasiwasi na ethics kama kiongozi anayetuwakilisha. Vile vile ninawasi wasi na uzalendo wake. Historia ya biashara zake sio nzuri.

Rex attoney imeliingiza Taifa hasara kubwa. Kwa ushauri mbaya uliokuwa na mazingira ya rushwa na uhujumu uchumi. Katika mazingira hayo Rex attoney imetoa ushauri wa kimazabe kwa tanesco kwa manufaa ya the other sides. Moral and ethical obligations hazikufuatwa, huku wakiwa ni waomi wenye uelewa mzuri waliamua kuiibia nchi kwa makusui. Kesi ya Tanesco, Dowans/Ricmond. Rex alikuwa kote kote.

Upatikanaji wa hii tender ya kesi kupitia Tanesco na Kuishauri Tanesco, bila shaka uliasisia na Balozi Maajar kwa kuwa na ukaribu wa Mkuu wa kaya. Wakala kubwa wakatuacha mpaka leo umeme ni historia.

Unaweza kusema hapa alikuwa anafanyabiashara hana kosa, kosa ni la kwetu sisi tulioshindwa ku-vett. Kumbuka hawa wanatumia heavy weight vimemo, na mgawo mkubwa kutumaliza. Uzalendo uko wapi???? Mzunguko wa fedha chafu ndio unawaweka madarakani, tuwatetee kwa lipi? Kweli unategemea atatuletea mwekezaji makini, wakati yupo kimaslahi yake zaidi.

Ni lipi jema kalifanyia taifa tangu kuteuliwa kwake ubalozi?

- Well, kama ninakuelewa ni kwa maneno yako hapa ni kwamba mama alikua fisadi, kabla hajawa balozi binafsi sikujua hilo mimi ninajali zaidi toka aliposhika ubalozi, je amekosa nini hasa kwa taifa? Hayo ya nyuma kama ni kweli basi ni muhimu sana kwenye katiba mpya tukawa na vetting system ya watueule wa Rais kupitishwa na bunge kwanza kama inavyokuwa kwa Waziri Mkuu!

Willie @ NYC, USA.
 
Sawa kila mtu anaiba lakini hiyo siyo hela ya kupiga mayowe, mkuu.
Beside, CAG hajasema wamekwiba hizo hela ktk hizo balozi, bali hazijawa accounted...........

watoto wangapi wanaweza kukaa kwenye madawati kwa hiyo pesa.
matumizi mabovu ya pesa ni dalili za mchezo mchafu bana
kama ni shirika la mtu binafsi unafukuzwa kazi kama umekwenza nje ya budget kiasi hicho hacha kutetea uozo

wewe ndiye ulikuwa unalia na safari za kikwete kwenye moja ya thread zako sasa mbona hii unaiona ndogo,.
tukuweke kundi gani hapo?
 
Back
Top Bottom